King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Nenda uhindini, kuna super market mtaa wa Kisutu au maduka kibao ya jumla uhindini, ukishindwa nenda pale Muhimbili ile kona ya Muhimbili Primary School ulizia kwa Mapilau utaupata wa kumwaga.
Nenda maduka ya Kitumbini utapata.
Supermarkets zote unapatikana.
Thanks wadau Pasco,Ubungo na King'asti,Bei zao zipo vipi?
Unajua Basmati wewe?? Basmati kwa Bariani...
Mkuu umeshaambiwa inapopatikana nenda kaulize bei mwenyewe maana bei zaweza kuwa zinatofautiana kutoka duka hadi duka.
ni pm tupange hiyo issueNaimanya nililetewa basmati si mchezo nataka nimpe shem wako awe anapika kwa home!
Itakua basmat ya brown hiiHiyo kwenye picture kama brown rice
Ndio mbilimbi au?Nenda uhindini, kuna super market mtaa wa Kisutu au maduka kibao ya jumla uhindini, ukishindwa nenda pale Muhimbili ile kona ya Muhimbili Primary School ulizia kwa Mapilau utaupata wa kumwaga.