Wapenda wabeba maboksi

Wapenda wabeba maboksi

Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.

NN ni tafutie na mimi mdada mbeba box! aje kunisaidia kutumia ankara!
 
Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.

Hiyo database haipo up to date
 
Niwaulize wabeba box.....
Mnatuma kiasi gani cha $$ bongo? msizungumzie raba mtoni na jinzi mnazovaa milegezo
 
Niwaulize wabeba box.....
Mnatuma kiasi gani cha $$ bongo? msizungumzie raba mtoni na jinzi mnazovaa milegezo

Watu tumejenga maghorofa Mbezi beach wewe unazungumzia kutuma hela kupitia MoneyGram na Western Union....unachekesha.
 
Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.

Kiongozi,
Mimi nataka mbeba box wa kike
 
Watu tumejenga maghorofa Mbezi beacj wewe unazungumzia kutuma hela kupitia MoneyGram na Western Union....unachekesha.
Huyu ndio raisi wa wabeba box....mhh..
wenzeni Kenya wamecontribute $3 billion kwa the past 5 years.....kijana unajua uchumi kweli? kujenga maghorofa mbezi beach ndio mnaona ni bonge la contribution kwenye kukuza kanchi haka kadogo? ama kweli raisi....
 
Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.
Alafu waelezee walengwa faida ya kisayansi na kisomi ya kuwapata wabeba box.....
 
Huyu ndio raisi wa wabeba box....mhh..
wenzeni Kenya wamecontribute $3 billion kwa the past 5 years.....kijana unajua uchumi kweli? kujenga maghorofa mbezi beach ndio mnaona ni bonge la contribution kwenye kukuza kanchi haka kadogo? ama kweli raisi....

[h=3]Tanzania set to receive $17m in 2010 - BUSINESS TIMES NEWS[/h]


www.businesstimes.co.tz/index.php?...tanzania...remittances...
12 Nov 2010 – Remittances to Tanzania will reach an estimated US$17 million in 2010, up from US$16 million the previous year. "Remittances are a critical ...
 
Back
Top Bottom