Wapenda wabeba maboksi

Wapenda wabeba maboksi

toka mwaka juzi nilikuwa namwambia prezaida aniandalie makao ya kubeba maboksi akadhani namtania

Duh! Hakutakii mema huyu
Lakini hii orodha yake ni ya kukusaidia kupata mbeba box sio box lenyewe. Labda akupatie wa kike kaa wamejiorodhesha
 
Huyu ndio raisi wa wabeba box....mhh..
wenzeni Kenya wamecontribute $3 billion kwa the past 5 years.....kijana unajua uchumi kweli? kujenga maghorofa mbezi beach ndio mnaona ni bonge la contribution kwenye kukuza kanchi haka kadogo? ama kweli raisi....
Kuna wakenya zaidi ya 500K marekani peke yake.
Wabongo US hatufiki hata 30K.
Kuna more than 4 million Kenyans in diaspora. Wabongo hatuzidi hata 300K in diaspora!
Sasa hebu do the math!!
 
Nahitaji sifa zifuatazo kwa mbeba boxi huyo;
Mweusi,Mfupi,baunsa,mikono shupavu...anaenukia jasho la kazi..awe na afro ili nipate kuhesabu nywele zake akiwa anataka kupata usingizi...

Watu humu mnaniua mbavuuy
 
Back
Top Bottom