Wapenda wabeba maboksi

mia nataka mbeba box ambaye hapiki
afu mwembamba, soft rangi ya ukwaju
 
Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.
Wabeba boksi wengi utawakuta pale SamakiSamaki Mlimani City na Steers Makumbusho wakijiliwaza na Burger au na maji ya dhahabu kutoka pale Mchikichini,utawajua tu kwa jeans mpauko,kata K,wahtzup nyingi na kulalamika kwaingi kuwa haya maisha ya bongo si maisha,utawasikia man Boston saa hizi sijui kuna ....... ah we sio nenda Cali.
Kwa kifupi NyaniNgapu wabeba boksi hawatafutwi wanajulikana tu kwa tabia na mienendo yao,na pia huenda vicheche ndio watawaPM hao wabeba boksi kwani hawana jipya zaidi ,Bongo ni mtoni siku hizi hasa ukiwa umeenda kushule na wabeba boksi wengi walioenda shule wameshaweka kambi bongo wanaendesha maisha kama wako mtoni
 
utawasikia
1.dude! When i was in london
2.ooh men, dar is fffffffn hot
3.dude, i cant stand this ffffff trafik jam
na mengine mengi

afu ukute na vibinti viosha wazee(msinipige hapa i just picked this name sitaki kumoffend yeyote)
navyo vina mambo yao
1. She is too fake, cant wear that hair style
2. Nina designer shoes, zile 8 pairs of sl i bought when i was on vacation yugoslavia
3. Swirt, dah is fffffn hot, will ruin my skin
4. Nilikutana na trafik jam kubwa nikazimia, they had to call an ambulens kunifikisha hapa steers
4. This govement is fffffn roten, hamna hata posho kwa wasiojiweza afu hamna hata nyumba za kulelea wazee
5. Na mengine mengi
Wabeba boksi wengi utawakuta pale SamakiSamaki Mlimani City na Steers Makumbusho wakijiliwaza na Burger au na maji ya dhahabu kutoka pale Mchikichini,utawajua tu kwa jeans mpauko,kata K,wahtzup nyingi na kulalamika kwaingi kuwa haya maisha ya bongo si maisha,utawasikia man Boston saa hizi sijui kuna ....... ah we sio nenda Cali.
Kwa kifupi NyaniNgapu wabeba boksi hawatafutwi wanajulikana tu kwa tabia na mienendo yao,na pia huenda vicheche ndio watawaPM hao wabeba boksi kwani hawana jipya zaidi ,Bongo ni mtoni siku hizi hasa ukiwa umeenda kushule na wabeba boksi wengi walioenda shule wameshaweka kambi bongo wanaendesha maisha kama wako mtoni
 
Kina dada,

Kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni PM. Mimi kama raisi wao hapa JF nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.

Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma PM.


Hala hala kukuwadia mabwana na waume wa wenzio.
 
utawasikia
1.dude! When i was in london
2.ooh men, dar is fffffffn hot
3.dude, i cant stand this ffffff trafik jam
na mengine mengi

afu ukute na vibinti viosha wazee(msinipige hapa i just picked this name sitaki kumoffend yeyote)
navyo vina mambo yao
1. She is too fake, cant wear that hair style
2. Nina designer shoes, zile 8 pairs of sl i bought when i was on vacation yugoslavia
3. Swirt, dah is fffffn hot, will ruin my skin
4. Nilikutana na trafik jam kubwa nikazimia, they had to call an ambulens kunifikisha hapa steers
4. This govement is fffffn roten, hamna hata posho kwa wasiojiweza afu hamna hata nyumba za kulelea wazee
5. Na mengine mengi


Hamna sehemu tamuuu ya kukutana na hawa kama JAVA!!! Ni burudani toshaaaaa
 
Hata akivua siku ya kumi lakini si KAVUA!!! Daahhh bado sanaaa hapo kwa pink hawajagundua,labda uwaelimishe kidogo.

huo sasa utakuwa uchokozi Mama Tuli lol maana masomo yangu kufaulu hadi Practicals, :juggle:
 
Wabeba boksi wengi utawakuta pale SamakiSamaki Mlimani City na Steers Makumbusho wakijiliwaza na Burger au na maji ya dhahabu kutoka pale Mchikichini,utawajua tu kwa jeans mpauko,kata K,wahtzup nyingi na kulalamika
kwaingi kuwa haya maisha ya bongo si
maisha,utawasikia man Boston saa hizi sijui
kuna ....... ah we sio nenda Cali.

Kwa kifupi NyaniNgapu wabeba boksi hawatafutwi wanajulikana tu kwa tabia na mienendo yao,na pia huenda vicheche ndio watawaPM hao wabeba boksi kwani hawana jipya zaidi ,Bongo ni mtoni siku hizi hasa ukiwa umeenda kushule na wabeba boksi wengi walioenda shule wameshaweka kambi bongo wanaendesha maisha kama wako mtoni

Siyo kweli bongo ni kama mtoni,kweli??
Inawezekana wabongo kwetu kuwa na hela nyingi bank ndio mafanikio.

Bongo na mtoni haviwezi kulingana hata siku moja.
Mtu anagari la milioni 80 lakini anakaa foleni masaa mawili kila siku kwenda na kurudi kutoka Tegeta mpaka posta ukimuuliza atakwambia nayeye anaishi km mtoni.

Watoto wa Obama wanakwenda shule ambazo mmarekani wa kawaida anaweza kwenda,hapa kwetu mtoto wa ktz anasoma shule hajui maabara inafananaje wkt mtoto wa kiongozi anasoma shule ya mil 5 kwa mwaka, wkt mwalimu serikalini analipwa laki 2 kwa mwezi.

Hizo ni chache acha Afya,Umeme,maji n.k ila mtz anakwambia kuna watu wanaishi.km mtoni kwa sababu wana mishahara au income kubwa ambayo haisaidii bila mazingira kwa ujumla wake kubadilika.

Bora uendelee kubeba boksi hukohuko huku hamna lolote la maana.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom