Tall Msafi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 230
- 231
Rais Samia anatoa funzo kubwa saaaana kwa CHADEMA.Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia nyumbu wa ufipa wanabwabwaja ili iweje?
Rais Samia anatoa funzo kubwa saaaana kwa CHADEMA.Kama Mzee wa Chadema anamkubali Rais Samia nyumbu wa ufipa wanabwabwaja ili iweje?
Mama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyu.Rais Samia anatoa funzo kubwa saaaana kwa CHADEMA.
Rais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.Mama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyu.
Shauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kura.Rais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.
Kaka upo?Wakuu,mbona replies nyingi zimejaa siasa?
Wazee wote wenye akili wanafanyaga hiviIlifika kipindi mzee alikuwa akitoka katika shughuli zake za kujiajiri alikuwa anakuja na magazeti kisha anatupa tuyasome alafu baadae kabla ya kulala anaanza kutuuliza maswali mmoja badala ya mwignine na hiyo ndio iliyonijengea mimi kupenda kusoma vitabu.