Hata mall ya Toronto ninafanya bargaining kwa Sana,sijali,Ni skill nilijifunza Mbeya mjini.Hata ninunue kitu wapi siamini katika Bei ya kwanza,Ni vitu vingi namevipata vingine nitakufa niviache,thanks to Mbeya city attitude.Sitaki mtoto wangu aje kuwa engineer ambaye hajui Rais wa Nigeria anaitwa nani. Dunia ya sasa inataka maarifa mengi hata kujua bargaining skills ni muhimu.