Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Weka kisa chako na jinsi gani ulivyofanikiwa kwepa kizinga au kukidhibiti.

Iwe katika mahusiano, biashara hata kwa watoto wakiwa bweni au vyuoni maana nao wameingia kwa kasi.

Nb: Ni kwa faida ya kujikinga kuvunjwa goti.
Mi kuna mmoja alikuwa kanikomalia toka mwezi wa 11 mwaka jana anataka kubadili simu ana iphone 7 anataka iphone x. Nikiangalia simu anayotaka kubadili haina shida yoyote ni basi tu mbwembwe za wanawake, mwezi disemba pressure ikazidi. Kuna namna nilimpanga nime bargain kutoka iphone x hadi kaambulia kifurushi cha mb cha mwezi cha 10k. Kuhakikisha kwamba ameridhia akanipa mbususu mkesha wa mwaka mpya na siku zilizofuatia, haulizii tena simu.
 
Nyeto ipo tu sema nawapigia kina rihanna
Bora nyie vijana mnaweza kupiga nyeto, sisi Wazee tukipiga nyeto si tunakata moto wazungu wakiwa wanakaribia kutoka ....🙈

Maana mikono na miguu vyote vinakuwa vinashake ...kuja kutahamaki ushawahishwa Muhimbili 😜🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
U
Weka kisa chako na jinsi gani ulivyofanikiwa kwepa kizinga au kukidhibiti.

Iwe katika mahusiano, biashara hata kwa watoto wakiwa bweni au vyuoni maana nao wameingia kwa kasi.

Nb: Ni kwa faida ya kujikinga kuvunjwa goti.
Unaanzisha ugomvi WA kimkakati,au kama upo una escalate au unaumentaini kwa kutokusolve kwa mtu ambaye unajua call zake ni za vizinga
 
Kwa nia njema kabisa, kama una uwezo wa kutowa towa tu bila kuhukumu. Mwache mpiga "mizinga" ajihukumu mwenyewe.

Kama huwezi kutowa jisemee wazi tu na kwa nia njema kuwa huwezi, bila kutowa sababu nyingi za kujenga hoja ya kutokuweza. Mradi uwe ni kweli huwezi ili nafsi yako isikusute. Hakuna kitu kibaya kama kusutwa na nafsi yako.
 
Weka kisa chako na jinsi gani ulivyofanikiwa kwepa kizinga au kukidhibiti.

Iwe katika mahusiano, biashara hata kwa watoto wakiwa bweni au vyuoni maana nao wameingia kwa kasi.

Nb: Ni kwa faida ya kujikinga kuvunjwa goti.
Mm jibu ni huwa 'sina hela'

Hata kama nimeshika m1 hapo na sitaki kukupa huwa sijitetei wala, ntakwambia tu sina hela au nakupa 1/10 yake kukupoza
 
Back
Top Bottom