Tumbili wa Mjini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 3,944
- 8,154
Kwani demu na yeye hafurahii tendo?Naye akinyimwa tamu asije kulialia 😜
Au atakuja kupewa kavukavu hakuna mauno feni wala nini 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kwani demu na yeye hafurahii tendo?Naye akinyimwa tamu asije kulialia 😜
Au atakuja kupewa kavukavu hakuna mauno feni wala nini 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kwani pamoja na wao kufurahia wamewahi kuacha kuomba?😜Kwani demu na yeye hafurahii tendo?
Uwa inaniudhi sana demu anataka tu hela ndio uwa najiuliza wanaumiaga kwenye tendo ama maana wamekuwa kama wanajiuza sasa na alizoea kuombaomba hela ujue atatafunwa na wengineKwani pamoja na wao kufurahia wamewahi kuacha kuomba?😜
Kumbuka tutakaodhurumiwa ni sisi tunaotaka mechi kila siku 😅
Ni balaaWapo wanawake wengi sahvi wanaishi kwa mizinga
Huyu anampiga kibomu cha 3000,yule 2000 mwingine 5000 mwingine 10000
Siku inaisha
Ogopa sana mwanamke kapanga chumba alafu hana shuguli ya kufanya
Ova
Hadi sadaka wanapiga mizinga? Hii kali kausha damu mwogopeni Mungu.
Tutumie ya kwakoHuu uzi umeenda!!😂😂
Sijakuelewa, atatafunwa na wengine ndo akina nani? Wewe mwenyewe unayemtafuna ndiyo mwingine, wenyewe wapo.Uwa inaniudhi sana demu anataka tu hela ndio uwa najiuliza wanaumiaga kwenye tendo ama maana wamekuwa kama wanajiuza sasa na alizoea kuombaomba hela ujue atatafunwa na wengine
Hadi hela ya sadaka unamnyima , tuache ubahili bwana!
Kama ni demu wangu alizoea kuomba hela atakuja atafunwe na wasela siku nisipo mpa helaSijakuelewa, atatafunwa na wengine ndo akina nani? Wewe mwenyewe unayemtafuna ndiyo mwingine, wenyewe wapo.
Hao kwa nature yao wameumbwa kuhudumiwaUwa inaniudhi sana demu anataka tu hela ndio uwa najiuliza wanaumiaga kwenye tendo ama maana wamekuwa kama wanajiuza sasa na alizoea kuombaomba hela ujue atatafunwa na wengine