Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Mbinu kiboko kuliko zote ni kumuwahi mpiga kizinga kabla hajakupiga. Yaani ile unapokea simu yake tu unamuuliza kulikoni mbona ulikuwa hupatikani? Akianza kujitetea unamkatiza kwa kumwambia nilikuwa nakutafuta nikukope. Au unaanza kumlilia shida kabla hajasema zake hadi anaishiwa pozi.
 
Mbinu kiboko kuliko zote ni kumuwahi mpiga kizinga kabla hajakupiga. Yaani ile unapokea simu yake tu unamuuliza kulikoni mbona ulikuwa hupatikani? Akianza kujitetea unamkatiza kwa kumwambia nilikuwa nakutafuta nikukope. Au unaanza kumlilia shida kabla hajasema zake hadi anaishiwa pozi.
humpi chance ya kupumua sio kiongozi
 
Kuna baadhi ya mbinu huwa zinakuwa ngumu kuchomoka.
Ila mimi ukiniruhusu nikaongee na simu nje ya eneo la tukio...ujue utasubiri mpaka kukuche, labda unisindikize.

Naenda kubeulia ofa zako home kwangu.
Kwanin unakula vya watu halafu kulipa hutaki,huu nao ni utapeli kama Mr.Kuku inabidi dipipiii aingilie kati
 
Kuna mishe naiskilizia ikitiki ntakucheki
Io kesho utasubir sana
20210118_133134.jpg
 
Back
Top Bottom