Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Kwa nia njema kabisa, kama una uwezo wa kutowa towa tu bila kuhukumu. Mwache mpiga "mizinga" ajihukumu mwenyewe.

Kama huwezi kutowa jisemee wazi tu na kwa nia njema kuwa huwezi, bila kutowa sababu nyingi za kujenga hoja ya kutokuweza. Mradi uwe ni kweli ni huwezi ili nafsi yako isikusute. Hakuna kitu kibaya kama kusutwa na nafsi yako.
As-salamu alaykum

amakwahakika
waislamu kupeana
nasaha nijambo la heri
 
JUZI NIPO SINZA DAR ES SALAAM MITAA YA KIJIWENI...NDANI NDANI HV.....!!!
NIMEKUTANA NA DEMU MSHIKAJI WANGU.......WA KITAA TUPO KWENYE VIKAO VYETU
ANAPIGA VIZINGA WANA HUKO AFU ELA IKIINGIA ANACLEAR BILL ZETU WASHIKAJI ZAKE.......
KIUFUPI WANAUME MBELE YA WADADA SISI NI WADHAIFU NA WEPESI
 
Kwa nia njema kabisa, kama una uwezo wa kutowa towa tu bila kuhukumu. Mwache mpiga "mizinga" ajihukumu mwenyewe.

Kama huwezi kutowa jisemee wazi tu na kwa nia njema kuwa huwezi, bila kutowa sababu nyingi za kujenga hoja ya kutokuweza. Mradi uwe ni kweli huwezi ili nafsi yako isikusute. Hakuna kitu kibaya kama kusutwa na nafsi yako.
We nae acha kutuharibia lugha hapa, KUTOWA ndio nini manyoko.
 
We jiite jobless pro max, hata mbu wata kuogopa.
Screenshot_20240220-122150_1.jpg
 
Back
Top Bottom