Wapambe Wa Bi. Harusi Nao Wamo!

Wapambe Wa Bi. Harusi Nao Wamo!

ili mradi hazina ubaya wowote na ni zaheshima nadhani hata wenyewe hawataona ubaya wowote hata kama wakiziona zimetundikwa huku
 
We Ni Noma....Picha za Ukweli Unafanya kazi photo point.
 
Allien, na wewe waoa lini tujezibandika zako. Mimi nabook kabisa kuwa mpambe...
 
Last edited by a moderator:
Imenipasa nikukariri mkuu Allien kwa mapicha, anyway wapambe kwahakika pia wamo, hehehe!!
 
PAMBE2.JPG

Hii imenikosha zaidi sijui kwanini.
 
Hata mimi huwa najiuliza kama wahusika wanaridhia picha zao kuwekwa humu......

Mkuu ukishaamua kuweka picha zako mtandaoni bila hata copyright jua ni balaa tu. Kuna ambaye nimemwona hapo namfahamu ni ni wale wale ambao wanatoa picha zao bure kule u-turn na 820fashions. Cha msingi anayetundika hapa anatakiwa aknowledge source. Mkuu kuna watu wanapenda kuuza sura ile mbaya. Ukitaka tu pita Facebook uone jinsi watu wamejaza mipicha hata ile ya privacy tu!! Sasa Shigongo akiichomoa huko akianza kuuza nazo magazeti wanaanza kulialia.
 
Bwana harusi mara nyingi hugundua amechemsha siku ya harusi, kwani hawa wapambe huwa wanakuwaga wakali kuliko mkewe aliyepembeni yake, yaani mguu guu,,**** ****, jicho jicho.
 
Mleta picha una "agenda" gani na hii "gender"?
 
Back
Top Bottom