chiuta
Senior Member
- Jul 30, 2018
- 103
- 83
Acha povu wewe!Wamefanyaje?
Acha kujihesabia haki, haupo sahihi. ..nawewe hauko salama (died worker)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha povu wewe!Wamefanyaje?
Acha kujihesabia haki, haupo sahihi. ..nawewe hauko salama (died worker)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bado tu povu linakutoka? Kausha!Mtu akiongea chochote hapa ama kina eleweka au hakieleweki hapa JF mnasema ni mipasho..
Hili jukwaa si lenu, jukwaa la wote.
Huwezi kunielewa ng'oo, pita tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huelewi unatufuta nini huku Jf sasa..Kwa hiyo umemwandikia nani? Maana sote hatuelewi
Kama hutaki kutafuna kila kitu kwanini unaleta hio mada yako. Hili sio darasa kusema mwanafunzi asipewe kila kitu.Kama huelewi unatufuta nini huku Jf sasa..
Kila kitu utafuniwe..
Kumbuka hauko salama kiviile kama zamani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ugonvi..
Ngoja uone misukule ikifanya kaziMisukule ya gwajima imeanza kujitokeza sasa
Sasa gwajima anahusiana na nini wakati huu
Tunasubiri Mwenye Enzi Mungu awatie ukichaa watakao nunua vilivyomo kwenye makontena.....Ukichaa tayari!
Mwenzio Mwenye Enzi Mungu kampa baraka ya mtoto!
Uwiii walahi shida za umaskini ni mbaya sana!
Kula uwembe!
That’s all
Nadhani anampongeza Askofu Gwajima /Makonda walivyopambana huko nyumaMi hata sijaelewa
Kama unasema hawatakuelewa, si bora ungekaa nalo moyoni tu, umeandika asome nani sasa, kama sio wana forums.Mtu akiongea chochote hapa ama kina eleweka au hakieleweki hapa JF mnasema ni mipasho..
Hili jukwaa si lenu, jukwaa la wote.
Huwezi kunielewa ng'oo, pita tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app