Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 886
Baba Askofu GWAJIMA nambariki Mungu kwaajili yako Baba, Ni kweli ufalme ukifitinika hakika hauta simama...
Bishop nakumbuka kipindi kile Bashite anakutishia maisha kwamba yeye ni mtoto wa baba asiyeshindwa kamwe, akijua kwamba wewe huna baba, Kumbe wako ni Mkuu kuliko Jiwe.nakumbuka kuna siku
uliachilia nguvu ya mamlaka na kuyaelekeza mapepo directly kwa Bashite lkn hawakukuelewa zaidi ya kukudhihaki wakashindwa kutambua NENO la MUNGU lina nguvu tena halijawahi kurudi tupu..
Hakika Babeli anaanguka/Ameanguka anguko kuu..
Mambo ni motoooo!! Ni fireeee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bishop nakumbuka kipindi kile Bashite anakutishia maisha kwamba yeye ni mtoto wa baba asiyeshindwa kamwe, akijua kwamba wewe huna baba, Kumbe wako ni Mkuu kuliko Jiwe.nakumbuka kuna siku
uliachilia nguvu ya mamlaka na kuyaelekeza mapepo directly kwa Bashite lkn hawakukuelewa zaidi ya kukudhihaki wakashindwa kutambua NENO la MUNGU lina nguvu tena halijawahi kurudi tupu..
Hakika Babeli anaanguka/Ameanguka anguko kuu..
Mambo ni motoooo!! Ni fireeee!!
Sent using Jamii Forums mobile app