Avatar yako yaukweli
Mmh mengine nahisi yana ukweli, miaka ya 93 kwenda 94, wilaya ya ukerewe na bunda kulikuwa na wakabaji ila hawa walikuwa wanakuminya koo kishirikina na hawakuachii mpaka wahakikishe umekojoa au kunya ndio wanakuachia ila wanachukua kinyesi nasikia mambo ya madini enzi hizo nyarugusu na nyamongo zilikuwa zinavuma sana, akina mama mimba zilitoka sana tu, na wananchi walipokuwa wanaripoti vituoni serikali inakana kuwa hakuna kitu kama hicho, wale watu walipotea baada ya wanakijiji kujichukulia hatua na kuwaua, kwani wanha wanajuanaHakuna ukweli wowote ni uzushi tu,pia ikazushwa eti kuna wachuna ngozi!
Ikaja ukiwa na kipara unakatwa kichwa! Mara ukiwa na mwanya unakatwa kichwa!
Ikaja ukiwa na alama ya M kiganjani unakatwa mkono!
Hizi ni hadithi za kufikirika tu za utotoni.
Wanaopinga ni hiki kizazi cha dot com.Upo sahihi Kuna mzee amethibitisha yeye ni miongoni mwa waliokuwa wakifanya kazi hiyo anasema walikuwa mawakala wa kukusanya damu na waliweza kukopeshwa fedha za kuwa na miradi kama usafirishaji ama maduka na mashamba makubwa ambayo yalitumika kukusanya watu kutoka maeneo ya mbali (vibarua) ambao hao katika kuwaua hawakushtukiwa kwa haraka kwani ilikuwa vigumu kupata profile zao kutoka kwenye jamii, lakini mchezo huo ulikuwa mkubwa nchi nzima Iringa kuna mtu alikuwa maarufu Chalamila kuelekea Sadani alikuwa anafanza hayo,Mbozi kuna akina Bantu orodha ndefu tu walifanya kazi hiyo. Walipewa vifaa vya kuhifadhia damu na mahala pa kukabidhi walipewa, pia damu nyingi ilivuka mipaka kwenda nje, kwa mujibu wa mzee huyo, anasema kulikuwa na mzungu waliyekuwa wakiwasiliana naye kwa utaratibu wa chain kama wanavyofanya watoa taarifa ambapo watu say wapo 05 lakini A hamfahamu C, ingawa A anampa B na B anakabidhi kwa C hadi E kwa utaratibu huo.
Bwana @uhurukenyata kwa maelezo yako ni kwamba haya matukio yalikuwa ni kweli. Hawa jamaa hiyo damu walikuwa wanaifadhi wapi? Je walikuwa wakinyonya wanaimaliza kwenye mwili wa mnyonywaji maana kama nilivyosema hapo kwenye post yangu #1 unatoaje uhai wa mtu ili kuokoa uhai wa mtu?
Nikweli hawa wanyonya damu Mumian walikuwepo. walikuwa wakara wa serikali kama walivyo wwngine. zamani ilikuwa ngumu kumuomba mtu ajitolee kutoa damu. hivyo walikuwa wanavizia watakayempata wanamdrain damu yote maana damu ya mtu mmoja ingeweza kuikoa maisha ya mtu zaidi ya mmoja.Miaka ya 1980 na 1990 kwenda 2000 kulikuwa na watu wanadaiwa kuwa ni wanyonya damu. Magari ya msalaba mwekundu tulikuwa kukikutana nayo lazima tutoke mbio kwa hofu ya kunyonywa damu.
Binafsi mimi kuna watu pale kijijijni kwetu mkoani kilimanjaro walikuwa wakihusishwa na unyonyaji damu. Mmoja nadiriki kumtaja alikuwa akiitwa Michael Ibrahim wa kijiji cha Longuo. Huyu bwana alikuwa akiogopwa na kila mtu.
Watoto wadogo wakimwona walikuwa lazima wakimbie. Pia baadhi ya wakina mama nao pia walikuwa wakimwogopa. Kuna taarifa za wakati huo kukutwa kwa miili ya watu wakiwa wamekufa na huku miili yao ikiwa imegongwa mihuri kuonyesha kuwa yule marehemu kanyonywa damu. Na wengi wa watu ambao walikuwa akisemwa kuwa ni wanyonya damu walikuwa ni watu wenye kipato. Hivyo kipato chao kuhusishwa na unyonyaji wa damu.
Kilichonifanya nilete huu uzi hapa ni kutaka kujua hii kadhia ni kweli ilikuwepo? Na kama ni kweli hiyo damu walikuwa wanapeleka wapi?
Sababu mimi nachojua ni kwamba damu ni kwa ajili ya tiba yaani kwa ajili ya kumwongezea mtu aliyepungukiwa na damu.
Sasa inakuwaje utoe uhai wa mtu kwa ajili ya kuokoa uhai wa mtu?
Wachuna ngozi sio story,ni kweliHakuna ukweli wowote ni uzushi tu,pia ikazushwa eti kuna wachuna ngozi!
Ikaja ukiwa na kipara unakatwa kichwa! Mara ukiwa na mwanya unakatwa kichwa!
Ikaja ukiwa na alama ya M kiganjani unakatwa mkono!
Hizi ni hadithi za kufikirika tu za utotoni.
Kwa nini wasitishe kutumia kitu tofauti ?Yalikuwa matisho tu kuogopesha watoto kucheza mbali na majumbani huko vijijini,ni kuanzia 1960s
Mie nlishaiona ngozi ilotupwa kwenye shamba LA shule mbozi huko, kipind haya mambo yanavuma. Sijui ilikuawaje ikaachwa pale kila ni ya binaadamuchunaji ngozi ulikuwepo mkoa wa mbeya.niliwahi ona documentary yake live
Nilishuhudia tukio hili kwa macho yangu, sikusimuliwa! Ngozi ya binadamu ikiwa imechunwa, Vwawa Police Post, Mbozi nadhani it was 1998 kama sikosei! Ile memory huwa haipotei ndani ya kichwa changu.Nakumbuka wachuna ngozi wawili walikamatwa mbozi mbeya wakiwa na ngozi waliyoichuna,yaani yule binadamu aliyechunwa huwezi kukuangalia mara mbili,
Kuna watu wakatili sana kwenye dunia hii
Ninacho kwambia nakijua wala sijahadisiwaNilishuhudia tukio hili kwa macho yangu, sikusimuliwa! Ngozi ya binadamu ikiwa imechunwa, Vwawa Police Post, Mbozi nadhani it was 1998 kama sikosei! Ile memory huwa haipotei ndani ya kichwa changu.
Hahaaahaaa nipo kakaSiku hizi wewe ni adimu kama makinikia bandarini
Kipara, ngozi ni Kweli weweHakuna ukweli wowote ni uzushi tu,pia ikazushwa eti kuna wachuna ngozi!
Ikaja ukiwa na kipara unakatwa kichwa! Mara ukiwa na mwanya unakatwa kichwa!
Ikaja ukiwa na alama ya M kiganjani unakatwa mkono!
Hizi ni hadithi za kufikirika tu za utotoni.
Unamfahamu marehemu Bantu?Nilishuhudia tukio hili kwa macho yangu, sikusimuliwa! Ngozi ya binadamu ikiwa imechunwa, Vwawa Police Post, Mbozi nadhani it was 1998 kama sikosei! Ile memory huwa haipotei ndani ya kichwa changu.
Miaka ya 1980 na 1990 kwenda 2000 kulikuwa na watu wanadaiwa kuwa ni wanyonya damu. Magari ya msalaba mwekundu tulikuwa kukikutana nayo lazima tutoke mbio kwa hofu ya kunyonywa damu.
Binafsi mimi kuna watu pale kijijijni kwetu mkoani kilimanjaro walikuwa wakihusishwa na unyonyaji damu. Mmoja nadiriki kumtaja alikuwa akiitwa Michael Ibrahim wa kijiji cha Longuo. Huyu bwana alikuwa akiogopwa na kila mtu.
Watoto wadogo wakimwona walikuwa lazima wakimbie. Pia baadhi ya wakina mama nao pia walikuwa wakimwogopa. Kuna taarifa za wakati huo kukutwa kwa miili ya watu wakiwa wamekufa na huku miili yao ikiwa imegongwa mihuri kuonyesha kuwa yule marehemu kanyonywa damu. Na wengi wa watu ambao walikuwa akisemwa kuwa ni wanyonya damu walikuwa ni watu wenye kipato. Hivyo kipato chao kuhusishwa na unyonyaji wa damu.
Kilichonifanya nilete huu uzi hapa ni kutaka kujua hii kadhia ni kweli ilikuwepo? Na kama ni kweli hiyo damu walikuwa wanapeleka wapi?
Sababu mimi nachojua ni kwamba damu ni kwa ajili ya tiba yaani kwa ajili ya kumwongezea mtu aliyepungukiwa na damu.
Sasa inakuwaje utoe uhai wa mtu kwa ajili ya kuokoa uhai wa mtu?