Wanyonya damu walikuwa wanaipeleka wapi damu?

Wanyonya damu walikuwa wanaipeleka wapi damu?

Nakumbuka Arusha ile njia ya kwenda Kisongo kule mikahawanii. Duuh Yaani palivuma sana kuwa kuna wanyonya damu.

Ila siamini kama ilikuwa kweli.
Hayo matukio yalishawahi kutokea kwenye baadhi ya maeneo.Isipokuwa baadae exaggeration ndo ilipamba moto sana.
 
Back
Top Bottom