Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Duh! sikudhani kama nitakuwa nimeuwasha moto basi kheri maalimu wangu toka huko ulipojificha utupe burdanGuasa...
Mbona umenikuna maana kipande hicho darasani kilikuwa akipewa
msomaji makini akisome kwa kuwa kinasisimua na kinaashiria nini
kitakuja kutokea...
Kaka Guasa mbona wewe mtu una ghasia sana....
