Nakufa,nakufa,wapo wapi wale wakuu waliotangulia mbele??siwaoni,wewe upo makumazahn??au umekwisha nitangulia sehemu ya mbele nisiyoijua mimi?,mahali panapozungukazunguka??Nasikia harufu ya damu,Naitwaaa!Ndipo alipoiinua inkosikazi yake,akaizungusha ,Ikawa kama inayotoa nuru ya dhahabu,,