Bin Mngereza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 610
- 269
Kisima cha Giningi,Mzimu wa Kale,Duniani kuna Watu,Moja ya vitabu vizuri vilivyowahi kuburudisha na kuchangamsha akili wakati ule ni vile vya bwana Msa (Mohamed Said Abdullah). Kuna mtu anakumbuka SIRI YA SIFURI? Au niko mwenyewe?