Ilikuwa khatari sana makumazahn mwenyewe anasema inachukua muda kuizungumzia ila tukio lenyewe hata dakika 3 hazikuisha kwani kilichotokea walitegemea kumkuta yule mlinzi wa mlango wa miiba akiwa kalala matokeo yake jamaa alikuwa macho wakaanza kufikiri nini cha kufanya hapo yule mzee mzulu alikuwa karibu yangu na kunionyesha ishara kisha akaanza kutambaa kuelekea kule mlangoni na kidogo kidogo yule nyoka mrefu mweusi akazidi kumkurubia yule mjivuni mara ghafla yule mlinzi akahisi kitu na kujongea karibu ya chungu cha majani kisha akaokota jiwe na kulirusha sehemu alohisi duh jiwe likampata yule mzee mzulu kichwani wote tukabaki na butwaa nini kitatokea lakini yule nyoka wala hakujitingisha mpaka yule mjivuni akayaangalia yale majani kivivuvivu kisha akaangalia mashariki dalili ya mapambazuko akaipekecha mikono yake labda ajipe joto.Guasa! Leta hiyo ramani ya Vita ya mzulu. Kama senema.
Ongeza nyingine!Abunuwasi na Abdul wale watu walikuwa kiboko wale full vituko but wanafundisha kuna kisa kimoja masikini kaenda kumshukuru tajiri jirani yake kuwa amekula chakula kwa harufu ya mboga toka kwa tajiri yaani alikuwa ana lumangia tajiri akaenda kushtaki alipwe harufu yake ya mchuzi masikini akawa ana haha kesi imemkalia vibaya mara Abunuwasi anapita kumuuliza akamuhadithia mpaka mwisho Abunuwasi akasema nitakusaidia kisha kaanza kutangaza kuwa pana sherehe nyumbani pake akanunua mahitaji yote wageni wamefika lakini cha ajabu mchele upo kule moto upo huku nyama kule wageni wakachachamaa wakiongozwa na tajiri hii haiwezekani hiki chakula kitaiva vipi bila kufanya hivi? Abunuwasi ndipo alipoamka na kusema bwana tajiri kisa hiki ni sawa na ulivyo mshtaki masikini kesi ya harufu ya mchuzi wako.
Nadhani siyo Abunuwasi!Abunuwasi
Jamaa alikuwa akili nyingi kuna kipindi alijenga ghorofa basi muda ukapita akaja mtu kutaka kuinunua ile nyumba abunuwasi akamwambia nitakuuzia ya juu hii ya chini nitakaamwenyewe basi hati ikaandikwa hivyo muda ukapita abunu akawa hana pesa na anadaiwa akaenda kwa yule aliemuuzia nyumba ya juu kumuomba amuazime pesa jamaa akakataa basi abunu akaona isiwe kesi mimi mji huu umenishinda nataka kuhamia mji mwingine ila nyumba yangu sitaiacha nitaondoka nayo sasa shikilia nyumba yako wakati naichukua yangu akaanza kubomoa huku anamwambia jiraniii shikilia vizuri nyundo zinapigwa pote pana tikisika vumbi mtindo mmoja jamaa ilibidi amwite na kumpatia pesa abunuwasi.Ongeza nyingine!
Uhondo upi tena swahiba wako ulokupita? Haya khabari za huko visiwani?Nilikuwa offline nilikuwa visiwa vya mbali hakuna network kabisa! Nimekosa uhondo mwingi
Hapo vipi?
NA HAPO?
&
Hapo vipi?
NA HAPO?
&
Yaah tumeupeleka peleka ipogolo na sheikh mohamed wamechangia sana huu uzi kufika hapa ukimjumlisha na BAK basi ndo hapa umetukuta pia wapo na wengine wengi wametupia japo comments mbili tatu tunawashukuru wote.Uhondo wa post naona umetupia vifungu kadha View attachment 406696mambo ya visiwani hayo