balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,509
- 15,132
Mimi namkumbuka tuu,Makumazan
Ni ngumu sana jaribu kama upo dar nenda maktaba yetu ya Taifa ila sina uhakikaJamani nitapata wapi hiki kitabu.?
Sasa maalimu kakusahau weye na kunisema mimi kuwa nina ghasia waqt wewe ndio unamchokoza na kumtoa huko aliko ila yote kheri tuendelee kumtafuta afungue kichwa aende penye kina kirefu cha bahari alete samaki wazuri Shukran nyingi kwako nduguMzee Mohamed Said, nimeipitia.
Swadakta swahiba wangu mada imewafikirisha wenye mada na pia wenye kupenda vitu vya kale hisia zinarudi nyuma na kukumbuka mbaliKuna baadhi ya vitu huwakutanisha watu kiroho hii post ni kimojawapo! najiona mimi wa wakati huo nikisoma hivi vitabu mstari kwa mstari
Guasa! Huyu mzee ana vitu kichwani balaa.Sasa maalimu kakusahau weye na kunisema mimi kuwa nina ghasia waqt wewe ndio unamchokoza na kumtoa huko aliko ila yote kheri tuendelee kumtafuta afungue kichwa aende penye kina kirefu cha bahari alete samaki wazuri Shukran nyingi kwako ndugu
Swadakta maneno yako tufunge buti pamoja sana ndugu yanguGuasa! Huyu mzee ana vitu kichwani balaa.
Bila kumsahau mzuvendi mshana jr. Ukiwachokoza hawa watu utapata vitu vingi sana.
Nimepita huko maalimu ingawa si mara ya kwanza kupita ila leo umakinika wangu umeongezeka zaidi na zaidi ila uchokozi huu au ghasia hii ipogolo ndo kaianzisha.
Guasa...Nimepita huko maalimu ingawa si mara ya kwanza kupita ila leo umakinika wangu umeongezeka zaidi na zaidi ila uchokozi huu au ghasia hii ipogolo ndo kaianzisha.
Mkomoli,shkamoo kaka
Guasa...Swadakta maneno yako tufunge buti pamoja sana ndugu yangu
Huruma kwa hili haipo maalimu sababu mtaondoka na hazina zenu watu wa jana hutufundisha somo la kesho simaanishi punda afe mzigo ufike ila kutokana na global warming vyanzo vya maji vingi hupotea basi kijua ndio hiki wacha tuuanike tusije utwanga mbichi.Guasa...
Mtatupasua vichwa hebu tuhurumieni.
Umri tu kaka kuwa tumetangulia kwa hiyo njia tumeanza kuijua sie.
Leo mimi mwanafunzi kwa wangu katika IT ingawa mimi ndiyo mtu
wa kwanza kuwasikisha key board.
Shukran kwako ndugu yangu.Haya kitabu hiko, jikumbusheni, na vijana wa leo kisomeni muonje utunzi wa zamani.
Guasa...Huruma kwa hili haipo maalimu sababu mtaondoka na hazina zenu watu wa jana hudundisha somo la kesho simaanishi punda afe mzigo ufike ila kutokana na global warming vyanzo vya maji vingi hupotea basi kijua ndio hiki wacha tuuanike tusije utwanga mbichi.
Swadakta ndo maana twataka umwage vitu watu wachukue bila ghasia na uchokozi huwezi kumbuka.Guasa...
Ukiutwanga mbichi unadoda...
Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua...
Wazungu nao wana yao, ''Make hay while the sun is shining...''
Uninikumbusha nilivyokuwa Mdogo aisee ndo zilikuwa hadithi motomoto.View attachment 403987na shoka lake la inkos-kaaz
(Umsolopagazi na inkosikazi)
Umesema kama mwanamume inkubu ya nini kuogopa? yule mtoto wa kike kasema watakula na kufanya karamu na iwe karamu yao ya mazikoni! Yule mbwa ninae tumaini kumuumbua kutakapo pambazuka amesema hatuwezi kuwashambulia sababu tu wachache! bwana mkubwa makenzie ana watu ishirini na kuna watu watano wako makumazahn kisha kuna watu weupe watano wanatosha kabisa tazama vita vitapiganwa hivi wakati mwangaza unaanza kuangazia pembe za ng'ombe si kabla wala baada (makumazahn wewe ni mzee na mwerevu wa mambo ya vita!Guasa...
Ukiutwanga mbichi unadoda...
Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua...
Wazungu nao wana yao, ''Make hay while the sun is shining...''
Guasa...Umesema kama mwanamume inkubu ya nini kuogopa? yule mtoto wa kike kasema watakula na kufanya karamu na iwe karamu yao ya mazikoni! Yule mbwa ninae tumaini kumuumbua kutakapo pambazuka amesema hatuwezi kuwashambulia sababu tu wachache! bwana mkubwa makenzie ana watu ishirini na kuna watu watano wako makumazahn kisha kuna watu weupe watano wanatosha kabisa tazama vita vitapiganwa hivi wakati mwangaza unaanza kuangazia pembe za ng'ombe si kabla wala baada (makumazahn wewe ni mzee na mwerevu wa mambo ya vita!
Unalijua lile boma waliloweka kambi niliiona asubuhi! Akachora chini hapa kuna mlango mkubwa umezibwa kwa miiba inkubu mimi na yule mkazi mwenye kifua kipana ni mtu jasiri tutasimama hapo na mashoka yetu.
Bougwan na watu wake kumi waende penye mlango mdogo wamuue yule mlinzi anaeshika zamu bila kufanya sauti kisha watu wengine waliobaki wagawanywe kwa makumazahn na bwana mkubwa kisha utakapo fanya sauti ya mlio wa ng'ombe wewe makumazahn basi waanze kushambulia lakini wakimuangalia yule mtoto wa kike basi kwa milio ya bunduki ya makumazahn na kwa makelele ya sauti ya juu ya ukuta ya watu wa bougwan basi wajivuni wale kwa pombe nyingi walizo kunywa na kwa hamaki ya kuamshwa usingizini watajikusanya na kuelekea lango la miiba basi hapo watatukuta na inkubu hilo ndio shauri langu makumazahn kama nawe una shauri jema liseme.
Basi hapo nikawaambia maneno mengine wasio yaelewa kisha wote tukakubaliana na mbinu za yule mzulu nikamtania aah mzee simba unajua jinsi ya kuvizia na jinsi ya kuuma unajua pahala pa kushika na mahala pa kushika akajibu ndio makumazahn vita vitakuwa vyema.