Mkandara, vipi upo?
Haa, haa, haa, haa, haa, haa, wuui, uhu, uhu, uhu, khu, khu,
Juzi nilikuwa nasoma posts hizi na mke wangu akasema bila shaka kuna mtu alizidiwa kete kwa mrembo huko mtaani hivyo sasa ameamua kuja juu; nikampinga kuwa watu wanatofautiana jinsi wanavyotoa uzito kwa kosa lolote, kwa hiyo kosa hilo hilo wengine wanalipa uzito sana wakati wengine wakiliona dogo. Sasa Bi.seti 50 karudia maneno yale yale aliyotoa mke wangu, naona wanawake wanaangalia swala hilo kwa kina sana.
Haah, haa, haah, haah, ha, ha, haah
Wo lala