Kama ipi mkuuShape nyingine hapo ni kutiana presha tuu
Watatu kutoka mwanzoMara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume wenu vitambi, slim au mwili mkubwa (mbavu)View attachment 1069700
muhogo,nazi,karanga,tende,asali
..ukiwa mwembamba sana afu mrefu nakuona kama mdoli...wenye six park wanapendwa tatizo wana mambo mengi bora tuendelee tu na wanaume wa...............japo wengi hawatunzi miili yao.Mara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume wenu vitambi, slim au mwili mkubwa (mbavu)View attachment 1069700
muhogo,nazi,karanga,tende,asali
Hiyo ............sijaielewa..ukiwa mwembamba sana afu mrefu nakuona kama mdoli...wenye six park wanapendwa tatizo wana mambo mengi bora tuendelee tu na wanaume wa...............japo wengi hawatunzi miili yao.
Wa maofisini wana hela wanahudumia ila wengi miili mibaya awa wahuni wa mtaani ndo unakuta wako vzuri ata mkitembea ukimbana mkono ivi unaona raha ila wao sasa majanga mara mia.Hiyo ............sijaielewa
Ostadh haupotwiDah ostadhi cheo mkuu.
Kuna wengine akina sisi hatutaki tupitwe.
Tukipewa madrasa tunakimbia mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nywele za wapi
Napitwa na mengi mkuu lakini katika huo uzi ni sahihi kusema sijapitwa 😀😀Ostadh haupotwi
Anaonekana ana njaa kaliUmeambiwa utaje vigezo vingine tofauti na pesa, wewe unataja pesa.
Kwa akili ya aina hii, wanaume wenye pesa utaishia kuwasikia tu!
- KANA -
😅😅😅😅
Hivi dawa ya kukuza nywele za kifuani zinapatikana wapi? Maana naona hii kitu ni dili kwa wanawake
Hahahahhahh
Wanaanza kutuona sisi kaka zao cheusi chunguHarafu mabinti weuc wakimpata white uwa wanawaona wanawake wengine co especially aorewe na mwarabu au muzungu tena OG dah, atakuambia nitapata vitoto viupe nywele ndefu na vizuli kama nini jamaniiii. Ni zarau ya hali yajuu aise.
weka picha ya hiyo shape yako inayokuvutia, unaweza kuwa riziki yangu mummy!!Sijaona inayonivutia hapo