Wanawake wetu naomba mtusaidie wanaume zenu mbali na pesa mnavutiwa na shape gani toka huku kiumeni

Mara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume wenu vitambi, slim au mwili mkubwa (mbavu)View attachment 1069700


muhogo,nazi,karanga,tende,asali
..ukiwa mwembamba sana afu mrefu nakuona kama mdoli...wenye six park wanapendwa tatizo wana mambo mengi bora tuendelee tu na wanaume wa...............japo wengi hawatunzi miili yao.
 
..ukiwa mwembamba sana afu mrefu nakuona kama mdoli...wenye six park wanapendwa tatizo wana mambo mengi bora tuendelee tu na wanaume wa...............japo wengi hawatunzi miili yao.
Hiyo ............sijaielewa
 
Kukuta mkaka anaeshinda job siku nzma tena ofisin awe na mwili mzur ni kaz sana kama kukuta mwanamke aliezaa ana english figure wengi wanajiachia tuu.
 
Hivi dawa ya kukuza nywele za kifuani zinapatikana wapi? Maana naona hii kitu ni dili kwa wanawake
 
Ngozi nyeuc nadra muno kukuta ana ndevu, au nywele za kifuani isipokuwa wachache sanaaa. Na mabinti huenda wengi wao wanapenda ivyo vi2.
 
Hahahahhahh

Harafu mabinti weuc wakimpata white uwa wanawaona wanawake wengine co 🤣 especially aorewe na mwarabu au muzungu tena OG dah, atakuambia nitapata vitoto viupe nywele ndefu na vizuli kama nini 🤣 jamaniiii. Ni zarau ya hali yajuu aise.
 
Harafu mabinti weuc wakimpata white uwa wanawaona wanawake wengine co especially aorewe na mwarabu au muzungu tena OG dah, atakuambia nitapata vitoto viupe nywele ndefu na vizuli kama nini jamaniiii. Ni zarau ya hali yajuu aise.
Wanaanza kutuona sisi kaka zao cheusi chungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom