Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Duuuh!! Jamaa is a friend of mine na nimekwambia hajawahi kumsema vibaya mkewe kwangu, wala kuzungumzia madhaifu ya mkewe.
Hayo mengine niliyajua kwa kuchata na upande wa pili. Bado haujaelewa baba?
Nisamehe best, nimeelewa...was just trolling[emoji12]
 
Nimechukua haya kutoka kwako
1:Kumsikiliza(japo kuna sometimes mtu anaongea pumba hatari ila nitajitahidi)
2:Kumuheshimu(Hili halina ubishi)
3:Kumuamini(Kwa baadhi ya mambo...)
Japo umenichunia ila umenchekesha na hiyo no1 lol

espy umeongea kweli tena kweli tupu. Asante kutukumbusha mana wakati mwingine tunajisahau sana... Ngoja niishie hapa kwa leo
 
Sasa nilichojifunza ni kwamba mwanaume anapenda sana kusikilizwa,kuheshimiwa na kuaminiwa. Anaweza akaja na wazo lake ambalo ukiliangalia harakaharaka unaona kabisa hapa hakuna kitu, sasa sisi wanawake huwa tuna tabia ya kuwakatisha tamaa, unaweza kuguna mguno classic au kucheka kabisa kwa dharau kumuonyesha kuwa wazo lake ni la hovyo kabisa, ilihali hata wazo mbadala pia hauna.
Hii ina ukweli.

Mpe nafasi ya kumsikiliza, then kama atakuomba ushauri mpe kama hauna bora umshauri atafute ushauri pahali sahihi, mtie moyo na umuamini kuwa anaweza, hata kama alikuwa na hofu na wazo lake kwa kumtia moyo na kumuamini itampa ari ya kulifanyia kazi vizuri zaidi.

Wakati mwingine tunaweza kuwa tunazima ndoto za akina Mengi wengi
Wazungu wanasema "constructive idea"
 
Umeongea point,sema shida na wewe ukiolewa yanakuwa Yaleyale wivu wa wikijinga.
 
Sister nitongozee basi maana nimezunguka afrika mashariki kila ninayempata unampiga vita.

Nitongozee wako .itabidi nimkubali tu
Yule sijamkataa, ila unamlaghai mtoto wa watu, mwisho tuonekane wabongo wote viruka njia, au haujui unaliwakilisha taifa?
 
Back
Top Bottom