Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Mke ni mshauri wa mume, nafasi hiyo ukiichezea akaipata mwingine ni balaa hilo ktk ndoa hiyo.


Yeah, tena mshauri namba moko. Kwa hiyo inabidi akili ku mkichwa ili usimkatishe tamaa hata kama unaona kitu hakifai.
Na ndio maana 'beside' any strong man, there is a strong woman.
 
Yeah, tena mshauri namba moko. Kwa hiyo inabidi akili ku mkichwa ili usimkatishe tamaa hata kama unaona kitu hakifai.
Na ndio maana 'beside' any strong man, there is a strong woman.
Kuna mmoja alinichekesha eti mumewe alikuja na wazo, basi alicheka hiyo siku kutwa nzima, yaani kila akimuangalia anamkumbusha na kucheka tu, mume akachukia akaondoka na kurudi saa5 usiku!! Alafu basi hata atoe hilo wazo lake ambalo ni la maana pia hana!!
 
Wewe ni mwanamke mwenye busara, tabia za wanawake wanaowakatisha tamaa wanaume hupelekea wanaume wengi kufanya mambo yao kwa siri, hili ni tatizo kubwa kwa ndoa nyingi
 
Kuna mmoja alinichekesha eti mumewe alikuja na wazo, basi alicheka hiyo siku kutwa nzima, yaani kila akimuangalia anamkumbusha na kucheka tu, mume akachukia akaondoka na kurudi saa5 usiku!! Alafu basi hata atoe hilo wazo lake ambalo ni la maana pia hana!!


Aisee, unaona sasa hapo aliua confidence yake. Ni vizuri sana kuwa positive na creative kwa kweli, hata kama unaona kitu hakifai unatafuta njia mbadala za kukiweka sawa au kumueleza pasipo kumuudhi.
 
Angekuwa naye ana mme mimi ningemwelewa vizuri lakini kama single hapo hapana halafu hizo sms alizokuwa akichart na huyo bwana hakutaja ni zipi yawezekana zilikuwa tata ndiyo maana mke akawa na kiulizo huyo mke sio mjinga kiasi hicho akute biashara partner halafu yy atibue hapana isije dada anajitetea
 
Aisee, unaona sasa hapo aliua confidence yake. Ni vizuri sana kuwa positive na creative kwa kweli, hata kama unaona kitu hakifai unatafuta njia mbadala za kukiweka sawa au kumueleza pasipo kumuudhi.
Na kama ni mtu wa kukata tamaa ndio basi tena! Au anaweza aamue kufanya mambo yake bila kukushirikisha kabisa.
 
Angekuwa naye ana mme mimi ningemwelewa vizuri lakini kama single hapo hapana halafu hizo sms alizokuwa akichart na huyo bwana hakutaja ni zipi yawezekana zilikuwa tata ndiyo maana mke akawa na kiulizo huyo mke sio mjinga kiasi hicho akute biashara partner halafu yy atibue hapana isije dada anajitetea
Kwani akiwa na mume ndio inazuia nini? Cha msingi ni kutambua mipaka yako.
 
Kwani akiwa na mume ndio inazuia nini? Cha msingi ni kutambua mipaka yako.
Haizuii kitu hata yeye yawezekana kama mme wake naye angeziona hizo sms asingekubali kirahisi, hilo la mipaka ndiyo cha muhimu kama nk biashara tu mke angelalamika nini sasa?
 
Haizuii kitu hata yeye yawezekana kama mme wake naye angeziona hizo sms asingekubali kirahisi, hilo la mipaka ndiyo cha muhimu kama nk biashara tu mke angelalamika nini sasa?


Kuna wengine hawana Imani ki hivyo kwa wenza wao, hata kama anaona ni za kibiashara anaweza kufikiria kuna la zaidi kama uhusiano ni wa mwanaume na mwanamke.
 
Back
Top Bottom