Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Excel umeyakanyaga, una mwanasheria? Atakufunga mi nakwambia

hahahaaaa!!!

mkuu mwanamke mwanamke tu nakwambia..! hata kama mwanasheria, hawezi kuwa na roho ya kinyama namna hiyo!!

hakika akipata anaemkuna kisawa sawa, sheria inatupwa kule...!
 
wanasheria wasumbufu sana wanaendesha mapenzi kwa vifungu vya sheria! hao maakauntant wana nyodooo usiombe
 
its just fact finding investigation..

itasaidia kwenye suala la ushahidi baadae.

how? Utapataje facts hapa?
Na ushahidi ktk nini?
Mkuu unazidi jivuruga tu, we kama wataka mke wa kuoa omba msaada.
 
....kwanini unauliza kuhusu usaliti lakini pacha na si kwa mazuri??!

pacha nawe kwa udadisi!! hujambo lakini??

nafanya analysis katika hizo profession bana.. baada ya muda si mrefu, nataraji kuweka ndani mmoja wao!
 
walimu mara nyingi ni waadilifu sanaa
huwa wana upendo wa dhati na wanaridhika na hawana tamaa za ajabu ajabu

madam wenyeji wanasema walim wa sasa si kama wale wa zamani!

ushaona tofauti lakini??
 
hahahaaaa!!!

mkuu mwanamke mwanamke tu nakwambia..! hata kama mwanasheria, hawezi kuwa na roho ya kinyama namna hiyo!!

hakika akipata anaemkuna kisawa sawa, sheria inatupwa kule...!

Well said! Hata barmaid akikunwa vizuri na matunzo yapo mbona anatulia sana tu!
 
Na maengineer msisahau kunipa character zao
 
madam wenyeji wanasema walim wa sasa si kama wale wa zamani!

ushaona tofauti lakini??

tofauti ipo lakini sio kubwa sana ya kukatisha tamaa
walimu wanabaki kuwa watu ambao wana sifa ya kipekee
 
walimu mara nyingi ni waadilifu sanaa
huwa wana upendo wa dhati na wanaridhika na hawana tamaa za ajabu ajabu

achaa kabsa miss neddy,miaka ya nyuma walimu walikua ndo wahanga wa vvu..kwa sababu cjui ya mshahara mdogo na mazngra ya kaz?
 
wanawake madaktari wanajua kupenda, waaminifu, wapole na watulivu vilevile wako na subira katika suala zima la maisha.
 
hahahaaaa!!!

mkuu mwanamke mwanamke tu nakwambia..! hata kama mwanasheria, hawezi kuwa na roho ya kinyama namna hiyo!!

hakika akipata anaemkuna kisawa sawa, sheria inatupwa kule...!

Kweli mkuu lakini
 
Back
Top Bottom