Kwanini wanawake hamna huruma?

Memtata

JF-Expert Member
Jul 27, 2013
552
1,800
Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba! 🤔

Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo naongelea wanawake walioolewa au wanaoshi na wanaume kama familia, kwanini wengi wao wana tabia hii? KUTUPA CHAKULA!!! 😭

Nikijitolea mfano mimi binafsi nimetoka familia masikini, Mungu kanijaalia nna kipato cha kubadilisha mboga kwa sasa. Kwakuwa chanzo kikuu cha mapato ni mshahara basi huamua kununua vyakula vya jumla kila mwisho wa mwezi mf. mchele,unga, mboga kama maharage, dagaa, samaki, nyama ya ng'ombe, kuku n.k yani kiufupi mwisho wa mwezi friji inakuwa top kwa mazagazaga na huwa tunapanga kabisa na mke wangu anunue vitu kiasi gani lakini matumizi ya vitu hivi yanakuwa ya hovyo sana hadi kupelekea kitu fulani kuisha mapema kabla ya muda mliojiwekea. Na hata ukimuuliza kuhusu pesa ya matumizi uliyompa tofauti na ya manunuzi ya vitu hivyo utaambulia patupu.

Kuna jambo wanawake hawawezi kubajeti kabisa hasa kipimo cha chakula. Unakuta mchana wanapika ugali mkubwa hadi jioni unatoka kazini unakuta hotpot limejaa ugali na mboga kibao zimebaki wote wameshakula na mimi huwa sili nyumbani mchana siku za kazi. Usiku pia wanapika wali kibao unabaki, asubuhi hauliwi wote sababu kuna mkate au mwanamke kajisikia kupika tambi au chapati, mchana unakuta sufuria limelowekwa na mpunga kibao mwisho wa siku wanapewa kuku wale....

Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.

Nna rafiki zangu wengi, ndugu zangu na jamaa wanaoishi maisha ya shida sana, mfano jana nilipigiwa simu na rafiki yangu ananiambia hadi muda huo (saa 2 usiku) hajajua watoto watakula nini akaniomba nimsaidie kumtumia buku mbili tu japo anunue mkate. Si kwamba napesa nyingi lakini najua uhalisia wa anachoniambia sababu haya maisha nimeyaishi nilipambana nikamtumia hela ya kula siku hiyo.

Nikirudi kwa mke wangu mimi hajali kabisa unaweza kushangaa baada ya siku 15 tu anakwambia mchele karibia unaisha, namuuliza mmetumia mchele kilo 30 kwa siku 15?! Jibu lake rahisi anajibu 'unadhani mimi naumwaga, si watoto wako wanakula!' Mwanamke mwenyewe katoka familia hizi hizi kama zetu sijui kwanini hana uchungu!

Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.

Kama kusema nilishasema sana sasa hivi naumia tu maana ukizidi kuongea hawachelewi, utasikia "We mwanaume una gubu kweli, mambo ya jikoni yana kuhusu nini?"

Ah! Basi bana, namwachia Mungu 😢
 
Ulichosema ni sahihi kabisa unajua huwezi jua thamani ya kitu mpaka kikupotee

Huyo mkeo kwakuwa anaona mahitaji yanapatikana anaona mambo mteremko Tu lkn laiti angejua kuna watu wanakula mlo mmoja Kwa siku ndo angejua hakika yeye ana bahati sana.

Lakini juu ya Hilo usiogope kuambiwa kuwa unagubu, hiyo ni dhambi kutupa chakula wakati kuna wengine wanalala na njaa. Endelea kuongea mpaka lieleweke.

Au

Badilisha mbinu ya kivita, usinunue chakula kingi ,Anza kununua kiasi cha siku 15 au nusu mwezi uone mambo yanaendaje,je kutakuwa na mabadiliko au laa!
 
Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba!

Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo naongelea wanawake walioolewa au wanaoshi na wanaume kama familia, kwanini wengi wao wana tabia hii? KUTUPA CHAKULA!!!

Nikijitolea mfano mimi binafsi nimetoka familia masikini, Mungu kanijaalia nna kipato cha kubadilisha mboga kwa sasa. Kwakuwa chanzo kikuu cha mapato ni mshahara basi huamua kununua vyakula vya jumla kila mwisho wa mwezi mf. mchele,unga, mboga kama maharage, dagaa, samaki, nyama ya ng'ombe, kuku n.k yani kiufupi mwisho wa mwezi friji inakuwa top kwa mazagazaga na huwa tunapanga kabisa na mke wangu anunue vitu kiasi gani lakini matumizi ya vitu hivi yanakuwa ya hovyo sana hadi kupelekea kitu fulani kuisha mapema kabla ya muda mliojiwekea. Na hata ukimuuliza kuhusu pesa ya matumizi uliyompa tofauti na ya manunuzi ya vitu hivyo utaambulia patupu.

Kuna jambo wanawake hawawezi kubajeti kabisa hasa kipimo cha chakula. Unakuta mchana wanapika ugali mkubwa hadi jioni unatoka kazini unakuta hotpot limejaa ugali na mboga kibao zimebaki wote wameshakula na mimi huwa sili nyumbani mchana siku za kazi. Usiku pia wanapika wali kibao unabaki, asubuhi hauliwi wote sababu kuna mkate au mwanamke kajisikia kupika tambi au chapati, mchana unakuta sufuria limelowekwa na mpunga kibao mwisho wa siku wanapewa kuku wale....

Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.

Nna rafiki zangu wengi, ndugu zangu na jamaa wanaoishi maisha ya shida sana, mfano jana nilipigiwa simu na rafiki yangu ananiambia hadi muda huo (saa 2 usiku) hajajua watoto watakula nini akaniomba nimsaidie kumtumia buku mbili tu japo anunue mkate. Si kwamba napesa nyingi lakini najua uhalisia wa anachoniambia sababu haya maisha nimeyaishi nilipambana nikamtumia hela ya kula siku hiyo.

Nikirudi kwa mke wangu mimi hajali kabisa unaweza kushangaa baada ya siku 15 tu anakwambia mchele karibia unaisha, namuuliza mmetumia mchele kilo 30 kwa siku 15?! Jibu lake rahisi anajibu 'unadhani mimi naumwaga, si watoto wako wanakula!' Mwanamke mwenyewe katoka familia hizi hizi kama zetu sijui kwanini hana uchungu!

Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.

Kama kusema nilishasema sana sasa hivi naumia tu maana ukizidi kuongea hawachelewi, utasikia "We mwanaume una gubu kweli, mambo ya jikoni yana kuhusu nini?"

Ah! Basi bana, namwachia Mungu

Memtata ushatupa stori zako nyingi humu toka mlevi mpk umeacha ulevi
M ushauri wangu ni huu. Fanya kma umepunguziwa mshahara hlf mwambie mkeo ukiwa serious kabisaa hlf fanya kununua mchele kwa kilo ilihali ww unamtizama katika kipindi hicho kma ataendelea na tabia yke iyo ya kumwaga chakula.

Punguza matumizi kwa kiasi chake sbr kma wiki 3 ivi fanya ivo hlf utaona matokeo yake
 
Memtata ushatupa stori zako nyingi humu toka mlevi mpk umeacha ulevi
M ushauri wangu ni huu
Fanya kma umepunguziwa mshahara hlf mwambie mkeo ukiwa serious kabisaa hlf fanya kununua mchele kwa kilo ilihali ww unamtizama katika kipindi hicho kma ataendelea na tabia yke iyo ya kumwaga chakula
Punguza matumizi kwa kiasi chake sbr kma wiki 3 ivi fanya ivo hlf utaona matokeo yake
Maisha yetu binadamu ni hadithi, tamthilia ama movie..🤣🤣🤣 ukipenda kuandika kuna mengi ya kuhadithia na kujifunza.
Asante kwa ushauri
 
Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.
Nikute mimi sasa kwangu...nina vi kontena vingi vingi.... Sipiki tu au havipikwi tu kwa utashi wa mpishi....kuna kipimo cha kila kitu..... Chakula kimebaki napaki kwenye kontena tukutane siku inayo fuata.... Nyumbani ukiwa na microwave mambo yanakuwa marahisi kwenye viporo.

Kingine kwenda hotelini na mtu akaagiza halafu asile hizo ni hulka tu... Ndege wafafanao huruka pamoja... Hao wana watu wao wasio kuwa na hela za mawazo.

Kama mkeo ni mama wa nyumbani mtafutie cha kufanya ajui uchungu wa kutafuta hela...
 
Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba! 🤔

Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo naongelea wanawake walioolewa au wanaoshi na wanaume kama familia, kwanini wengi wao wana tabia hii? KUTUPA CHAKULA!!! 😭

Nikijitolea mfano mimi binafsi nimetoka familia masikini, Mungu kanijaalia nna kipato cha kubadilisha mboga kwa sasa. Kwakuwa chanzo kikuu cha mapato ni mshahara basi huamua kununua vyakula vya jumla kila mwisho wa mwezi mf. mchele,unga, mboga kama maharage, dagaa, samaki, nyama ya ng'ombe, kuku n.k yani kiufupi mwisho wa mwezi friji inakuwa top kwa mazagazaga na huwa tunapanga kabisa na mke wangu anunue vitu kiasi gani lakini matumizi ya vitu hivi yanakuwa ya hovyo sana hadi kupelekea kitu fulani kuisha mapema kabla ya muda mliojiwekea. Na hata ukimuuliza kuhusu pesa ya matumizi uliyompa tofauti na ya manunuzi ya vitu hivyo utaambulia patupu.

Kuna jambo wanawake hawawezi kubajeti kabisa hasa kipimo cha chakula. Unakuta mchana wanapika ugali mkubwa hadi jioni unatoka kazini unakuta hotpot limejaa ugali na mboga kibao zimebaki wote wameshakula na mimi huwa sili nyumbani mchana siku za kazi. Usiku pia wanapika wali kibao unabaki, asubuhi hauliwi wote sababu kuna mkate au mwanamke kajisikia kupika tambi au chapati, mchana unakuta sufuria limelowekwa na mpunga kibao mwisho wa siku wanapewa kuku wale....

Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.

Nna rafiki zangu wengi, ndugu zangu na jamaa wanaoishi maisha ya shida sana, mfano jana nilipigiwa simu na rafiki yangu ananiambia hadi muda huo (saa 2 usiku) hajajua watoto watakula nini akaniomba nimsaidie kumtumia buku mbili tu japo anunue mkate. Si kwamba napesa nyingi lakini najua uhalisia wa anachoniambia sababu haya maisha nimeyaishi nilipambana nikamtumia hela ya kula siku hiyo.

Nikirudi kwa mke wangu mimi hajali kabisa unaweza kushangaa baada ya siku 15 tu anakwambia mchele karibia unaisha, namuuliza mmetumia mchele kilo 30 kwa siku 15?! Jibu lake rahisi anajibu 'unadhani mimi naumwaga, si watoto wako wanakula!' Mwanamke mwenyewe katoka familia hizi hizi kama zetu sijui kwanini hana uchungu!

Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.

Kama kusema nilishasema sana sasa hivi naumia tu maana ukizidi kuongea hawachelewi, utasikia "We mwanaume una gubu kweli, mambo ya jikoni yana kuhusu nini?"

Ah! Basi bana, namwachia Mungu 😢
Kulalamikia vitu kama hivi ni ushamba
 
Nikute mimi sasa kwangu...nina vi kontena vingi vingi.... Sipiki tu au havipikwi tu kwa utashi wa mpishi....kuna kipimo cha kila kitu..... Chakula kimebaki napaki kwenye kontena tukutane siku inayo fuata.... Nyumbani ukiwa na microwave mambo yanakuwa marahisi kwenye viporo.

Kingine kwenda hotelini na mtu akaagiza halafu asile hizo ni hulka tu... Ndege wafafanao huruka pamoja... Hao wana watu wao wasio kuwa na hela za mawazo.

Kama mkeo ni mama wa nyumbani mtafutie cha kufanya ajui uchungu wa kutafuta hela...
Haya ndiyo maisha ninayoyataka, microwave ipo lakini haijasaidia kwasababu muhusika hajatilia umuhimu.

Na sidhani kama anaweza kupasha kiporo cha ugali lakini mimi binafsi maisha niliyokulia ni yale ugali ukibaki unakatwa katwa na kupikwa upya na nakumbuka kwao na rafiki yangu walikuwa ugali wanaukata na kula kama mkate asubuhi na hawakuwa masikini ila familia ilikuwa ni ya single mother.

Sipendi mke wangu ale ugali kama mkate ila napenda awe na heshima na chakula apike kulingana na mahitaji.
 
Ulichosema ni sahihi kabisa unajua huwezi jua thamani ya kitu mpaka kikupotee

Huyo mkeo kwakuwa anaona mahitaji yanapatikana anaona mambo mteremko Tu lkn laiti angejua kuna watu wanakula mlo mmoja Kwa siku ndo angejua hakika yeye ana bahati sana.

Lakini juu ya Hilo usiogope kuambiwa kuwa unagubu, hiyo ni dhambi kutupa chakula wakati kuna wengine wanalala na njaa. Endelea kuongea mpaka lieleweke.

Au

Badilisha mbinu ya kivita, usinunue chakula kingi ,Anza kununua kiasi cha siku 15 au nusu mwezi uone mambo yanaendaje,je kutakuwa na mabadiliko au laa!
Ila pia inategemea aliko toka (mkewe). Kuna familia moja jirani zangu siku wakiwa nayo watapika kama kufuru.... cha kupika siku zote hana ila siku akifumania mtakoma....ndizi mkungu(mzuzu),kuku wa 3 viazi sado 2...siku inayo fuata hawana cha kupika..... Sasa umpate mwanamke toka hiyo familia unategemea nini?

Hata akinunua nusu atajua vikiisha ataletewa tena.
 
Chakula kikimwagsa huwa kinaniuma hata kama sio mimi nilietoa pesa, hasa kwa watu wa pesa za msimu. Najua fika huyu kiumbe kesho na keshokutwa njaa itambishia hodi ila jeuri ya shibe ya sasa anamwaga msosi kisa umelala.
Mkuu tunaoumia ni wengi lakini nadhani tumeumbwa tofauti ndio maana kuna mtu kama huyu 🙉
Kulalamikia vitu kama hivi ni ushamba
 
Ila pia inategemea aliko toka (mkewe). Kuna familia moja jirani zangu siku wakiwa nayo watapika kama kufuru.... cha kupika siku zote hana ila siku akifumania mtakoma....ndizi mkungu(mzuzu),kuku wa 3 viazi sado 2...siku inayo fuata hawana cha kupika..... Sasa umpate mwanamke toka hiyo familia unategemea nini?

Hata akinunua nusu atajua vikiisha ataletewa tena.
🤣🤣🤣 Si ya kucheka haya lakini umegusa mule mule, hawa pia wapo nimeshuhudia mimi. Unaweza kukuta mtu anachezea hela ukadhani ametoka kwenye noti kumbe ulimbukeni tu.
 
Haya ndiyo maisha ninayoyataka, microwave ipo lakini haijasaidia kwasababu muhusika hajatilia umuhimu. Na sidhani kama anaweza kupasha kiporo cha ugali lakini mimi binafsi maisha niliyokulia ni yale ugali ukibaki unakatwa katwa na kupikwa upya na nakumbuka kwao na rafiki yangu walikuwa ugali wanaukata na kula kama mkate asubuhi na hawakuwa masikini ila familia ilikuwa ni ya single mother. Sipendi mke wangu ale ugali kama mkate ila napenda awe na heshima na chakula apike kulingana na mahitaji.
Aise ugali ukiupasha kwenye microwave unarudia upya wake....basi yeye kazoea maisha mteremko..... Hawa ndo wale umetetereka kidogo anakukimbia kutafuta wa kuendana nae kwa kipindi hicho
 
Kama mkeo ni mama wa nyumbani mtafutie cha kufanya ajui uchungu wa kutafuta hela
Hili nalo la msingi sana na nipo kwenye hatua za mwisho. Mke wangu ni mama wa nyumbani lakini tumekubaliana nimfungulie biashara, nataka asimamie kila kitu; kulipa Kodi, kununua mzigo n.k alafu mwisho wa siku tukae mezani kuona maendeleo ya biashara
 
Back
Top Bottom