Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,859
- 38,463
Jifunzeni kupika acha kibri. Ina maana mumeo kila siku awe anakupikia?Wanaopika ni wanawake tu wanaume hawapiki?
Sexist bullshit.
Jifunzeni kupika acha kibri. Ina maana mumeo kila siku awe anakupikia?Wanaopika ni wanawake tu wanaume hawapiki?
Sexist bullshit.
Kidogo nitapike mwenyewe akaniambia "limao hiyo hapo kamulia" nikashindwa kabisa jamaniUkute lilikuwa beberu.
Hata kama kuna beki 3 kuna kesho, hapo makosa ya mama yake, ila hata Baba anapaswa kujua malezi ya mtotoBinti inaonyesha kakulia familia ya beki tatu kumfulia hadi nguo ya ndani
Mbuzi mwenyewe beberu uwiiii harufu lake! Anaongea tu mbona hata huko vijijini tulikuwa tunaunga mafuta karanga yakutengeneza nyumbani!Mleta mada ushawahi kunywa supu ya mbuzi(sijazungumzia beberu) ambayo hajawekwa viungo?
😂😂 kama kawa personal attacks. Sexist idiot!Jifunze kupika acha jeuri, mke asiyejua kupika ni aibu!
Wala hata ni ngumu kwenu mnaohangaika kulinda failing patriarchy.Kwenye jamii zote sehemu kubwa ya wanaopika ni kina mama.
Ni kweli wanaume wanapika ila ni kwa kiasi kidogo sana.
Sio kila jambo lazima uwe na mawazo ya kijinsia.
Feminists mko negative muda wote. Hamuoni kitu chochote kizuri kwenye maisha. Hii Dunia ni ngumu sana kwenu.
Siwezi kujisumbua kubishana na mtu ambaye mawazo yake yamekaa ki sexist kama yako. ByeeeeJifunzeni kupika acha kibri. Ina maana mumeo kila siku awe anakupikia?
Usiage ngoja twende wote.Siwezi kujisumbua kubishana na mtu ambaye mawazo yake yamekaa ki sexist kama yako. Byeeee
Siupike wewe ukitakacho,kiongozi huongoza kwa mfano nunua huyo kuku siku hyo pika muonyeshe mfano mbona atajifunza,upendo wa kweli nikuelekezana tu mpaka mnakuwa mstari mmoja
Ahsante sana.Hivi Biriyani lina viungo? yani nilete nyama home ipikwe bila vikolombezwo? unataka kufananisha mapishi ya mwaka 1800 na 2020? Kama wewe unapenda kula vyakula visivyoelewaka sema hivyo ila sio kwamba eti hawajui kupika, mpelekee mkeo nyama aweke jikoni na maji mwambie akatie nyanya then kula maana mpaka vitunguu na hoho hutaki... Wadada mna huruma sana aisee,poleni. Nawapenda sana wanawake wanaonukisha nyumba yaani upo getini ila unaskia vitu ndani vinanukia tu ukishaingia hutamani kutoka ila kuna mtu anataka ale kama hana taste buds vile
Au unapika supu ya sangara bila viungo.Mbuzi mwenyewe beberu uwiiii harufu lake! Anaongea tu mbona hata huko vijijini tulikuwa tunaunga mafuta karanga yakutengeneza nyumbani!
Yaani kila siku namwambia wife ukinipikia mboga sitaki uweke hayo makorokoro huwa siyapendi!! Mimi naweka Nyanya,Vitunguu saumu,vitunguu maji,karoti,hoho na nyanya tu,MATAKATAKA Mengine siyapendi.meat masala, royco mchuzi mix na viungo vingine.
Achana na mawazo ambayo hayana maana. Hayo unayowaza wala hawawezi kutokea miaka 500 ijayo. Ishi sasa.Wala hata ni ngumu kwenu mnaohangaika kulinda failing patriarchy.
Hahaaa kwa unavyoongea inaonyesha kabisa unaogopa kinachoenda kutokea. Na kilishaanza kutokea. kama unafikiri utaninyamazisha kwa kuniambia niko shapeless bitter sijui reject think again. Unaonyesha kabisa wewe ni failure kila idara ndo maana you're a sexist and a misogynist. Kama wanawake wanakutisha pole sana you can't avoid the inevitable.Achana na mawazo ambayo hayana maana. Hayo unayowaza wala hawawezi kutokea miaka 500 ijayo. Ishi sasa.
Hao wazungu wanaowadanganya wenyewe huo ujinga hawafanyi. Sasa wanakuja kuwajaza mazuzu ujinga huku mnaumeza kama ulivyo.
Unachokiwaza won't happen in this world. Asikudanganye mtu.
Hiyo fairness mnayoiwaza hata kwenye maisha ya kawaida tu haipo sembuse ya kijinsia.
Achana na mawazo ya kijinga.
Feminists wengi ni wale mmepigwa mimba au mmezalishwa mmeachwa au mko rejects or shapeless, mko bitter na kila kitu.
Pole sana.
Ndo wanaume taka taka kama nyinyi mlivyo. Mnatagemea slave labour kutoka kwa wanawake wanawafanyia kila kitu mwisho wa siku mnachukua credit.Ndio wanawake wetu hawa. Kupika hawajui, chochote hawajui wao wanachotegemea ni uchi tu kwenye mahusiano au kwenye ndoa.
😂😂😂Mwanamke ananitisha nini sasa?Hahaaa kwa unavyoongea inaonyesha kabisa unaogopa kinachoenda kutokea. Na kilishaanza kutokea. kama unafikiri utaninyamazisha kwa kuniambia niko shapeless bitter sijui reject think again. Unaonyesha kabisa wewe ni failure kila idara ndo maana you're a sexist and a misogyny. Kama wanawake wanakutisha pole sana you can't avoid the inevitable.