Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
- Thread starter
- #41
Hahahaaa. Nilikua sahihi kukufikiria hivi.Ndo wanaume taka taka kama nyinyi mlivyo. Mnatagemea slave labour kutoka kwa wanawake wanawafanyia kila kitu mwisho wa siku mnachukua credit.
Pika mwenyewe huko kwani wanokula ni wanawake peke yao?
Huwezi kukuta mwanamke mrembo mzuri ana mawazo kama haya.
Only shapeless and rejects. They see nothing good in life.