Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Wanadai zinawawasha, mi siwaelewagi nawaambiaga ndo ntakukuna vzur
 
Ni nature ya mwanamke; na ndiyo maana mwanamke akikupenda hawezi kukutongoza baki atakuonyesha ishara za kimapenzi.

Ni viumbe wanaohitaji extra care; hivyo ndiyo Mungu aliwatengeneza wawe.
 
Na ndio maana idadi ya wanawake walioathirika pia ni kubwa sana..
 
Wengi wao ni waathirika wa ukimwi. Waliambukizwa na mafataki, hivyo wanalipiza kisasi. Kuwa macho kijana utakufa.

Wapo wanawake wengi tu wanaojielewa kamwe huwezi ukawagusisha dudu lako bila kuvaa soksi.
 
Utafiti mzuri mkuu,ila sisi wanaume pia tuko hivyo
Ni nadra sana kuvaa soksi zaidi ya mara tano kucheza mpira kwenye kiwanja kile kile....! Sana sana mara tatu nne ya tano...siyo kwamba unasahau bali haujui kinachotokea kwamba kwa nini hukuvaa soksi. Rejea ya hili ni wakati bado unachezea timu ya under"...."
 
Ni kweli, wanawake hawapendi kabisa kutumia kinga kwa kisingizio kuwa zinawaumiza
 
Hapana ninapomuuliza ndio utafiti wng na akinijibu niamue mm mwenyew mimi natumia kinga kumuuliza swali ni njia ya utafiti tu
Uwe unaquote comment ya mtu bhanaaa unajibu hewani hewani maana yake nini
 
Habari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu
pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo

Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.

Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga

Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
Wanaamini katika mla mla leo mla kesho kala nini? Na Ajali haina kinga.
 
Umesema ukweli kabisa, enzi hizo kabla sijaoa niliwahi kutoka na binti mmoja tena msomi kabisa amabaye alitakiwa kujua na kujali matumizi ya kinga wakati wa tendo la kupeana unyumba, basi nikawa nimeandaa kondomu za kutosha tu LAKINI cha kushangaa wakati tuko chumbani tukikaribia kupeana unyumba yule binti akakataa kabisa kutumia kinga eti kwasababu anataka nimkune pekupeku maana ndicho kitu anachopendelea.

Baada ya kunieleza hivyo nilimsihi tutumie kondomu bado akagoma tena akaichukua na kutupa kwa dustbin, nilimshangaa ila niliishiwa kabisa hamu ya kula unyumba wake pekupeku. Tukawa tumeachana hivyo tangu siku ya kwanza kukutana. Sikuwahi tena kumtafuta miaka nenda rudi.

Mabinti/wanawake wengi badilikeni maana hamjali kabisa kuambukizwa magonjwa ya zinaa.
 
Wanaume tumepewa majukumu makubwa Sana na Mungu mojawapo ikiwa hilo la kumlinda mwanamke . Maamuzi mengi yanategemea mwanaume iwe home au job au popote pale... So let's be responsible guys . It's up to us . Ndio maana hata shetani alipitia kwa mwanamke pale KatiKa bustani ya edeni
 
kuna mwingine aliniambia inamaana huniamini mpaka utumie kondomu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom