Wanaume wa Dar kweli mmefikia hatua hii!!?wanawake wanawashinda ujasiri!!?wanawake sio ukimwi tu.. risk nyingi sana hawaziogopi... na wanapenda kusafiri na boda boda hatari.. na helmet hawataki eti zinaharibu nywele zao...
kuna siku nipo na mdada sehemu na usafiri ni shida boda boda moja tu ipo so inabidi tupande mshkaki.. mimi nikagoma mshkaki.. mwanamke anakomaa twende tu... nikaweka msharti tusitembee bara bara kuu.. tutembee service road tu hadi tufike sehem yenye boda nyingi nikod ingine... mdada anakomaa niache uoga na hapo helmet hana kabisa na hata hataki kusikia na anatamani dereva atembee spidi barabara kuu highway
hahaaa " mimi jicho langu moja ni chongoTunaliona kwa macho mawili
hahaaaMmoja aliwahi kuniambia nivue kabisa! Dushe likanywea fasta!
hahahaha, akijibu nitagiWanaume wa Dar kweli mmefikia hatua hii!!?wanawake wanawashinda ujasiri!!?
Wanaume wa Dar kweli mmefikia hatua hii!!?wanawake wanawashinda ujasiri!!?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wanaume wa huku ujasiri zero walah hapa wanasingizia wanawake wakati wao ndo hawapendi kondomWanaume wa Dar kweli mmefikia hatua hii!!?wanawake wanawashinda ujasiri!!?
Dah hii inatka wataalam kweli asaHabari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?