Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Inabidi kabla ya kuanza uwe umeshaiweka sehemu ya kuonekana haraka si uanze kuitafuta hapo utajiangmiza huku unajiona
 
Hivi bado haya mambo yanafuatiliwa? sisi wahenga kazi yetu msosi na kulala tunawaachia serengeti boys
 
hawaogopi narudia tena hawaogopi..

hakuna mwanamke aliyewahi kunambia nivae kondom zaidi ya kunambia bby leo mwaga nje siunajua nipo danger

hawa viumbe bwana
 
Inabidi kabla ya kuanza uwe umeshaiweka sehemu ya kuonekana haraka si uanze kuitafuta hapo utajiangmiza huku unajiona
Mkuu kuna changamoto huwa inatutokea hasa mabinti wadogo under 21,ukiingia nae ghetto vinasumbua balaa kutaka vinataka ila kwa mbinde![emoji23] Mimi imeshanitokea Mara nyingi unakuta umeshakavua nguo zote wakati unaanza kuvaa condom kanaanza tena kuvaa chupi!mwisho wa siku unajikuta tu kiatu kimevuka soksi offside[emoji23] (Peku)laiti ingekuwa kila kuijaamiana na mwanamke mwenye virusi lazima upate basi hakuna ambaye angekuwa salama
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom