Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,469
Wakishajua wapo safe days condom hawaitambui
Wanawake sio waoga kama wanaume mkuu.
Usiwaendekeza kabisa, wanawake mambo yao ni yakibabe na yanayonifanya niwe na tahadhari nao pindi ninapomingo nao.Si UKIMWI tu, wanawake hawaogopi mambo mengi na mazito ukilinganisha na sisi wanaume.
Hii ndio sababu wao hawapendi wanaume waoga
Wengine wanabanjuana na condom mara mbili za kwanza, mara ya tatu utasikia ninakuamini bwana
Unamuamuni umempima?
Uzinzi siufagilii
Ni KweliHabari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
Unaweza ukachapa na maukimwi yake na ukasepa ukiwa 'safe'Watu wana roho ngumu kwa kweli, utachapaje demu cha wote au usiyemzoea bila kinga? Mfano mtu uje kulala na Wema, Kajala, Nandy, Zamaradi, Vanesa Mdee, Amber Lulu, Gigy Money, Aunt Ezekiel, Mimi Mars, bila kujikinga hivi unajipenda kweli?
Wanaume tumeanza kusahau majukumu yetu,sikuhizi na sisi tumekuwa walalamishi kama wake zetuWanaume tumepewa majukumu makubwa Sana na Mungu mojawapo ikiwa hilo la kumlinda mwanamke . Maamuzi mengi yanategemea mwanaume iwe home au job au popote pale... So let's be responsible guys . It's up to us . Ndio maana hata shetani alipitia kwa mwanamke pale KatiKa bustani ya edeni
Unaweza ukachapa na maukimwi yake na ukasepa ukiwa 'safe'
Haujiulizi kwanini watu wanapenda kuchuna ngozi kwa kutumia kisu butu bila ya kuvaa gloves?
Mkuu, ngozi kavu ni kila kitu, asikwambie mtu na ndiyo maana ngozi halisi ina bei yake na ngozi feki ina bei yake.
Dawa ni kuacha uteja wa biashara hiyo.
Lakini hili la kuvaa 'ndom' tunadanganyana tu mitandaoni humu.
Tena wewe unayetetea uvaaji wake, unaweza kuta ni mzee mapekupeku.
Maana waTz tumezoea kulaani mambo tunayoyatenda wenyewe.
Utakuta mzinzi analaani wazinzi, mwizi unakuta anapiga hadi kuua mwizi!
comment yako INA mashiko wengi hawapendi kondomu wanaume ila wakija huku JF wanalaumu wanawake eti hawapendi, wakati kiukweli kondomu hutoa ladha yote ya tendon si kwa mwanamke au mwanaumeGood idea. Napenda Sana mtu wa jinsia husika akitoa comment, najua kuna uhalisia.Wengine wanabanjuana na condom mara mbili za kwanza, mara ya tatu utasikia ninakuamini bwana
Unamuamuni umempima?
Uzinzi siufagilii
Hata kupima Ukimwi wanawake sio waoga kabisa km wanaumeHabari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
naunga nkono hoja,hawa watu huwa hawahoji kabisa kingaHabari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?