Chozilaurithi
Senior Member
- Apr 13, 2018
- 120
- 55
- Thread starter
- #21
Yaani wepesi sana kuamini aisee
ni kweli kabisa aiseee me mwenyewe nimeliona iloHabari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
Kumbuka kulipia tuNasubiri wataalamu
[emoji23][emoji3]Jua kutofautisha ..haya maneno ..mwanamke ,malaya .. Msichana na mdada