mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
Sikubaliani na wewe bali nakubaliana na biology.Operation ndio njia yenye uhakika wa uzazi salama kwa dunia ya leo
Mijini humu unasikia vifo vya wazazi tena?..
Kupush yataka mtu ambae nyonga yake si lelemama..kuzaa natural na kifo ni suala la 50/50