TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,721
- 10,224
Kuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wana mapenzi ya kweli. 22-24 wana mawenge. 24-27 wanajitambua. 27-30 wana hofu na mashaka mengi. 30-35 wana msongo wa mawazo. 35-42 ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake hasa wanawake wa kundi la 6. Wanawake wa kundi la 6 wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.