white girl
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,361
- 400
Nyani Ngabu,
1-Unajua wanaume wengi wa bongo hawajui kujali,yaan pesa mpaka umuombe hawez toa tu ili nawe ukapendeze,
2-wengi sio wasafi wananuka vikwapa,mdomo,mwili unakua na harufu ya ajabu ajabu japo na wanawake inawagusa hapa
3-kuna wanaume hawajui lugha ya upole ya ukarimu yaan yeye ni dharau tu na majivuno,pia kuamin maneno ya watu bila kuchunguza
Mim hua vinanikuna vitu hivi vitatu,wanaume wengine wanakera jamani, tunawatangulizia pesa tu kwani wanatubinuaga mno kila aina ya sarakasi,
1-Unajua wanaume wengi wa bongo hawajui kujali,yaan pesa mpaka umuombe hawez toa tu ili nawe ukapendeze,
2-wengi sio wasafi wananuka vikwapa,mdomo,mwili unakua na harufu ya ajabu ajabu japo na wanawake inawagusa hapa
3-kuna wanaume hawajui lugha ya upole ya ukarimu yaan yeye ni dharau tu na majivuno,pia kuamin maneno ya watu bila kuchunguza
Mim hua vinanikuna vitu hivi vitatu,wanaume wengine wanakera jamani, tunawatangulizia pesa tu kwani wanatubinuaga mno kila aina ya sarakasi,