Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,131
- 26,625
^^
Naam umegusa sifa za wanawake wa toleo la kwanza..original version.
Hawa wa toleo jipya wanashindana kutokuwa wao!
^^
Kila cku huwa nakwambia bado tupo kaka angu
^^
Naam umegusa sifa za wanawake wa toleo la kwanza..original version.
Hawa wa toleo jipya wanashindana kutokuwa wao!
^^
Kila cku huwa nakwambia bado tupo kaka angu
Pesa ................... Uko vipi kitandani................. Mengine ni mbwembwe tu.
Mke mwema hutoka kwa Mungu tu, mme mwema nae hutoka kwa Mungu tu, zaidi ya hapo ni maumivu ndugu zangu.
Kweli mkuu watu wanaleta theories nyingi mno wakati mambo makuu mawili ndio yanayowavutia wanawakeBhaaaas! Na wala si Migomigo tu. Mkwanja kwa asilimia kubwa sana (90 na kitu) ndo kila kitu popote pale, kuanzia Uswazi, daraja-kati, hadi Ushuani.
Wapo wataojishaua na kujifanya mkwanja si kitu lakini hayo ni mashauzi tu. Mbele ya mkwanja ni wachache sana wenye kuleta za kuleta.
Ila ndo hivyo tena...ukiisha na wenyewe wanapukutika kama majani ya mti kwenye msimu wa kupukutika majani (autumn).
KUJALI
Wanawake wanapenda sana wanaume wanaojali. Wanawaona wao ni kila kitu na wanaotoa kipaumbele kwao. Kama huna tabia hiyo, ujue upo katika nafasi kubwa ya kumkwaza mpenzi wako. Mjali mpenzi wako kwa kila hali.
Kumjulia hali kila wakati na kutaka kujua maendeleo yake, kutakupa nafasi kubwa sana ya kuendelea kudumu katika uhusiano hai.
MUHIMU SANA HII KITU
Wengine ni sumu kwao hii, simu yenyewe hadi uanze ww kumtafuta, kumbembeleza ndo ziro kabisa, kujua mendeleo yao ni div 5, waume wa aina hii ni hasara kwa taifa langu na ulimwengu mzima