Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Evelyn Salt kwa jibu hili sidhan kama nahitaji tena kukuambia......maana hana namba huyu....mwongozo wako nilikuwa naomba nimkate nisimkate

Aiseee bora unikate tu kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Afu we kondakta wa Machimbo nishakwambia ukome kunifuatilia...
Mie nishakwambia mie ni saizi ya baba yako mzazi ndo nawezana nae mechi ya ukubwani, sio wewe.
Nilishakukanya kunishobokea wewe....sasa endelea upate vidole vya makalio.

Naona Kibo10 anadhibitisha madai yake.
 
Last edited by a moderator:
Huyu huwa hatukani, na ni mshauri mzuri sana tu kama hujui.
Kama unahitaji ushauri muulize huyu dada atakusaidia.
Hata hawa wengine wanafurahisha tu jukwaa ila ni wadada wazuri tu sana. Trust me! Kama huamini niambie niongee zaidi

Ushauri gani mzuri anaoutoa hadi useme kuwa ni yeye tu?
 
ha ha ha hicho kimo lol

afu unakumbuka kule JLW alikuwa anajichekesha chekesha mbele yetu?
Huyu atakuwa ana vimelea vya "yaliyotiliwa saini Uingereza"

Kila atakapoona ID yangu, lazima ajichomoze utadhani kisimi chenye nyege kwenye mashavu.
mfyuuuuuu zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom