Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Jaman ni vizuri mkajiheshimu, ni aibu sana kwa kauli zenu mnazo zitoa tena watoto wa kike. Evelyn, masai dada na wengineo 2mien busara zenu, ila samahan kama nitakuwa nimewaboa but ni ushauri wangu kwenu!!
Niongee mie aibu uone wewe makubwa, mie sio mtoto wa kike ni mwanamke
 
Lazima ifike kipindi tukubali kama tupo tofauti.tendo la aibu kwako linaweza lisiwe la aibu kwa mtu mwingine.kweli inawezekana unaboreka na baadhi ya lugha humu ndani lakini si lazima usome na ucomment kila post.
Pili mwanzo wa upenzi ni urafiki urafiki ukigoma usiendelee na stori za penzi dizain unamuona mtu kama kahaba maana unamwambia habari za kulala nae.sasa hawa wadada wangekua wanafurahia mnachoandika Pm wangetaka kuzimwaga hapa.sitetei hawa wanawake ila wanaume muwe mnawaza fresh kabla ya kufanya vitu vingine
 
Niongee mie aibu uone wewe makubwa, mie sio mtoto wa kike ni mwanamke

Mwalimu mwenzangu ,umetisha ...nimekunyooshea mikono ,,,watu wanataka kuwa viranja kwa ulazima ...haya twende kutumikia taifa ...oops
 
Mkuu kule JLW hakuna matusi futa kauli tafadhali!!
 
Sometimes anonymity inawafanya watu kuwa strange creatures..
 
JLW halina matusi na sharti kuu la jukwaa lile utakayoyakuta unayaacha humo humo......

UTAKATWA TU
Ngoja kitengo kikushughulikie
 
Bia sitaziacha ni tamu sana. Weita niongeze moja nizimue naona match imefikia extra time.
 
Hivi unajuaje jinsia ya mtu humu JF MFANO im sure wengi mna assume Invisible Ni mwanaume majority watakuwa disappointed akijitokeza ni KE. though mwenyewe anadai ni robot

we iko akili mingi sana!..naona 'kamisaa' karejesha hali ya utulivu katika hili pambano,akishirikiana na 'refa' Elli79!
 
Last edited by a moderator:
kama dai anavyobishana na jokate

Ni kawaida kwa entertainers kufanya hvyo as a publicity stunt (marketing schemes).

Ndio maana 50 Cent alikua akirushiana maneno na Taraji P. Henson (Cookie Lyon) wa empire just because 50 wanted to promote his hit series " Power ".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom