Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Ila jamaa jasiri sana....nkajua ataendelea...nyie wanawake mnamfanya mtoto wa watu aote ndoto za kutisha...sjui atakuwa anaota nini saiv maskini
 
Hivi unajuaje jinsia ya mtu humu JF MFANO im sure wengi mna assume Invisible Ni mwanaume majority watakuwa disappointed akijitokeza ni KE. though mwenyewe anadai ni robot
 
Huyo Masai dada wamasai wenzio wako bize kuchoma kadi za chama cha kijani wewe unatukana humu, rudi monduli kwenu
 
Wapo wanawake humu JF ni kiboko,Wana midomo yenye shobo hatari,Tena kwenye jukwaa la MMU na JLW ndio balaah.
Na hawa wafuatao ndio wanawake wenye kutumia maneno yasiokuwa na sitaha JF
1. Madame B
2. masai dada
3. Evelyn Salt
4. Jestkilla
Kama wapo wengine wabandike hapa wajijuwe kwa kuchafua hali ya hewa.

Namba moja ni ukweli mtupu.
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu alicho koment hapa tuna ki print then tunaziprleka kwenye maombi.
Kuna mtu eti kaitwa kibo10. Nyie watu hands up!
 
Sasa mkuu mimi nilitaka ku-edit comment yangu wewe umei-quote haraka hujui kuwa mwenyewe akiiona atanitukana?

Huyu huwa hatukani, na ni mshauri mzuri sana tu kama hujui.
Kama unahitaji ushauri muulize huyu dada atakusaidia.
Hata hawa wengine wanafurahisha tu jukwaa ila ni wadada wazuri tu sana. Trust me! Kama huamini niambie niongee zaidi
 
Jaman ni vizuri mkajiheshimu, ni aibu sana kwa kauli zenu mnazo zitoa tena watoto wa kike. Evelyn, masai dada na wengineo 2mien busara zenu, ila samahan kama nitakuwa nimewaboa but ni ushauri wangu kwenu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom