Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Shoga....we acha tu,
Nilikaa eda bila kufiwa mwenzio
...kuna mambo yalikorogana ndo mana nikawa kimya,hadi kule.

Vipi lakini salama mpenzi?

Pole sana my dear, fanya urudi kule bana. Tunamiss mambo yako ujue
 
Mdomo mchafu una meno mangapi kwani
au una kipele kinakuwasha eeee.....ngoja tukupe mkunaji.
...yaani mijitu mingine bora ingezaliwa punda ikawasaidia wazazi wao kubeba mizigo.

....mgongo mrefu kama meza ya kamari....mfyuuuuuuuuu!!!!!!

Yaani ungenijua ungeona aibu mwenyewe.
 
Dah...naona huku mtoa mada karidhika kwa kupata alichotaraji na watolewa mada wamejibu kwa ufasaha kabisa...kweli JF haina hoja isiyokuwa na ufafanuzi...long live JF
 
Wewe unajifanya mjuaji sana! nyambaf.
Hebu usiniite tena huku we pimbi, ushaomba samahani umesamehewa tulia basi sio unakua kama mtetea
ha ha ha af nlikua sijasoma ulivo edit et ukaka, we ni dada tu...kama unatamani kua kaka basi acha huo udada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom