Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,836
Wakuu poleni na majukumu ya kazi, huwa kiukweli jf ni moja ya mitandao ya kijamii ninaoutumia zaidi kwa sasa kuliko hata hiyo wanayoiita ni ya dunia ya kwanza.
Kuna kitu mimi kimekuwa kikinivutia sana hapa JF na si kingine ni misimamo ya watumiaji JF kama tujuwavyo kuna majukwaa yapatayo 42 kama nitakuwa sijakosea yapo yale yalio maarufu na pia kuna yasio maarufu.
Kinachonifurahisha ni baadhi ya misimamo ya watumiaji wa majukwaa haya wengine toka kuwajuwa wamefunga ndoa na jukwaa moja tu kwa mfano nitajitahidi kuweka baadhi ya watu na misimamo yao kwenye majukwaa hayo.
MFANO JUKWAA LA SIASA
MSALANI Yericko Nyerere Ben Saanane ifweero @a4 na wengine wengi tu watu hawa wamefunga ndoa na jukwaa hili na nivigumu sana kuwakuta jukwaa jingine wao kutwa nzima wanauwana na siasa tu wapo wengine ka mimi huwa naingia kusaidia mapambano tu.
JUKWAA LA MMU
mshana jr charminglady Heaven on Earth ICHANA farkhina masai dada lara 1@lady furahia Dinazarde Eiyer Preta Karucee na wengine kibao jukwaa hili ni ndoa yao huwa pia napita kuonaga tu!
WATU WA MAJUKWAA YOTE
sungura1980 MziziMkavu Mr Rocky Rich Pol na mimi hapa ndio kwangu Kibo10 na wengine viherehere kila jukwaa tubaonekana
JUKWAA LA KIKUBWA
grafani11 Bantu lady funzadume Madame B gwijimimi Mtamile a.rahabu na wengine humu kuna mauwaji ya ajabu nilimfuma madame b anataka watu wa kumfiiiiii tena anata wanaume wawili nikakimbia.
JUKWAA LA PICHA
utafiti kabanga KAJICHO KIVULI na wengine wengi ila hawa watu huwakosi hapo kutwa wapo tu pia napitaga kuchungulia
Ebu kwa pamoja najuwa wapo wengi sikuweza kuwataja wote tuweke majina ya wana jf wa majukwaa yao nao watakuja kutueleza kwa nini wamefunga ndoa na majukwaa hayo.
Au kwanini wanaangaika kila maali wapo?
Nawashilisha
Kuna kitu mimi kimekuwa kikinivutia sana hapa JF na si kingine ni misimamo ya watumiaji JF kama tujuwavyo kuna majukwaa yapatayo 42 kama nitakuwa sijakosea yapo yale yalio maarufu na pia kuna yasio maarufu.
Kinachonifurahisha ni baadhi ya misimamo ya watumiaji wa majukwaa haya wengine toka kuwajuwa wamefunga ndoa na jukwaa moja tu kwa mfano nitajitahidi kuweka baadhi ya watu na misimamo yao kwenye majukwaa hayo.
MFANO JUKWAA LA SIASA
MSALANI Yericko Nyerere Ben Saanane ifweero @a4 na wengine wengi tu watu hawa wamefunga ndoa na jukwaa hili na nivigumu sana kuwakuta jukwaa jingine wao kutwa nzima wanauwana na siasa tu wapo wengine ka mimi huwa naingia kusaidia mapambano tu.
JUKWAA LA MMU
mshana jr charminglady Heaven on Earth ICHANA farkhina masai dada lara 1@lady furahia Dinazarde Eiyer Preta Karucee na wengine kibao jukwaa hili ni ndoa yao huwa pia napita kuonaga tu!
WATU WA MAJUKWAA YOTE
sungura1980 MziziMkavu Mr Rocky Rich Pol na mimi hapa ndio kwangu Kibo10 na wengine viherehere kila jukwaa tubaonekana
JUKWAA LA KIKUBWA
grafani11 Bantu lady funzadume Madame B gwijimimi Mtamile a.rahabu na wengine humu kuna mauwaji ya ajabu nilimfuma madame b anataka watu wa kumfiiiiii tena anata wanaume wawili nikakimbia.
JUKWAA LA PICHA
utafiti kabanga KAJICHO KIVULI na wengine wengi ila hawa watu huwakosi hapo kutwa wapo tu pia napitaga kuchungulia
Ebu kwa pamoja najuwa wapo wengi sikuweza kuwataja wote tuweke majina ya wana jf wa majukwaa yao nao watakuja kutueleza kwa nini wamefunga ndoa na majukwaa hayo.
Au kwanini wanaangaika kila maali wapo?
Nawashilisha