Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

Wanawake wanaoongoza kwa lugha JF

ooops!! nimetanguliza neno hapo!!
ila ngoja kwanza..
pengine kibo alikuwa na maana yatofauti!!
Oooh you meant???hebu ongea kiswahili bana unansemesha kizungu umenisomesha wewe?
Kingereza bila kulewa tutakesha hapa na tusielewane ohooo
undersandn't you? Teh chezea question tag
 
kwa heshim yako naomba nitoke kwenye huu uziii lakini mambo mengine ni ungeseeee sana sasa jukwaa la wakubwa badala ya kuandika Mbooooo unatKa niandike nini????? watu wengine wanaume mboo tu iko pale lakini ukike mpaka kero

vaa sketi tujue moja
am out

Kloriti Leo imefanya kazi
 
Hizi comments za leo, punguzeni jaziba bandugu! labda hakuwa na mana hiyo mliyo elewa nyie!
 
Wapo wanawake humu JF ni kiboko,Wana midomo yenye shobo hatari,Tena kwenye jukwaa la MMU na JLW ndio balaah.
Na hawa wafuatao ndio wanawake wenye kutumia maneno yasiokuwa na sitaha JF
1. Madame B
2. masai dada
3. Evelyn Salt
4. Jestkilla
Kama wapo wengine wabandike hapa wajijuwe kwa kuchafua hali ya hewa.
Ongezea The Unknown. Umeona alichoandika kwenye post hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom