Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,259
- 6,625
- Thread starter
-
- #41
Nifanye Nini mkuuMkuu hizi nyuzi Huwa zinanigusa sana, natamani kungekuwa na option ya audio humu tuweke nyuzi za kuongea maana naona huu uwanja wa maandishi haunitoshi kabisa kuchangia madukuduku yangu dhidi ya Hawa viumbe. In short wanawake sio watu bro! Siku mkinikuta naoa au nazungumzia ndoa au true love na mwanamke naomba mniwahi mnipeleke milembe maana ntakuwa nahutaji uangalizi. Siongei Kwa ubaya ila nikiambiwa nioe mbuzi au mwanamke basi nitachagua mbuzi.
Narudia, siku nitakkayotoa Uzi kuhusu mapenzi na maswahubu yake basi mtanitafuta personally mnikodie therapist maana ntajidharirisha sana na kuvunja watu wengi moyo, Hawa viumbe wanawake heeeh! Dadea Yan cna jema kuwahusu.
Hili jamaa lijingaKosa la kwanza kubadili dini kisa mwanamke, hata ningekuwa mimi nisingekubali maana ni kama umeshikiwa akili
Mwanamke anakuacha halafu unambembeleza!Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba
Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.
Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...
Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.
Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock
Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..
Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!
Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Hapana huu ni ukweli mkuuGahawa hii .
Una umri gani? Na yeye ana umri gani?Dah mkuu gari sina kwa Sasa.
Ila mrembo amesema ameniacha kwa sababu sina hela. Hata mahari inanisumbua.
Nina 24 yeye ana 23Una umri gani? Na yeye ana umri gani?
Naaam aluatani call me kuku maji Bata mzingaKuku maji
Hapana sio mwanamke mweupeatakua mwanamke mweupe ndo maana unamng’ang’ania sana 😆😆
DuuhNina 24 yeye ana 23
Kuku Maji huyo mazee unataka kuingia ngoma...Una umri gani? Na yeye ana umri gani?
Sawa mkuu Nimekuelewazinduka usingizini hiyo familia watakuendesha sana..
subiri afikishe 30 mfate rena now anakula ujanaNina 24 yeye ana 23
😂😂tangu lini kuku akawa na akili?