Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

uwiiii snowhite na Kongosho leo naona mnataka kurudisha nyumri nyuma.

ila ukweli ng'ombe hazeeki maini bana hata kama figo zimecollapse

Tutakosa soko, nimeshtukia mchezo wa Kaizer

Kaizer umeanalyse vizuri sana na inaweza ikawa kuna ukweli ndani yake.
Ila nashangaa kwa nini nyie 40's mnaongoza kuwataka hizo 20's pamoja na hayo yote hayo????

Ndugu yangu, hata uleje ugali, vikaranga vina nafasi yake
Japo huwezi lala kwa kula karanga tu

mtoto mbea wewe!
sasa nani kakwambia useme mi ni wa 50's???
hebu acha kutupeperushia ndege bana!
eti Kongosho huyu bi kizee viiipi!watu tunataka kuwa mayoung forever ye anakuja kutujazia nzi hapa! gfsonwin tuheshimiane!
daaadeki zako!:yell::yell::yell:

Tena aniwache kabisa, mie niko 30 kamili ujue?
 
swali kwa nini hao ma 30's wanajirudisha miaka nyuma???
Tutakosa soko, nimeshtukia mchezo wa Kaizer



Ndugu yangu, hata uleje ugali, vikaranga vina nafasi yake
Japo huwezi lala kwa kula karanga tu



Tena aniwache kabisa, mie niko 30 kamili ujue?
 
You made my day, salute!

"Any object, wholly or partially immersed in a fluid, is buoyed up by a force equal to the weight of the fluid displaced by the object".
View attachment 94504
46ffecb186095b2d5718e6938ebebaf2.png
=
 
Kwa hiyo mie gari bovu? Mbona unanililia nikuvute?


Afu tutakuwa tunakutana wapi na ambrosia ishaharibika?

Age is just a number bana,vi chicken spring vina raha zake........kakurukie rukie kakutekenyetekenye......we acha bana gari bovu halivuti gari bovu lenzake........mambo yote nido sa sita.
Kopi: warembo wote wa cbe,ifm na mabibo hostel.......bishanga anawapa hi tukutane ambrosia weekend.
 
Kweli kabisa, kama ana dharula anakutaarifu mapema "...dear kuna mgonjwa amezidiwa tunamwaisha hospital saizi, nivumilie nikutoka hospital...." wewe unakuwa na amani huna hofu kabisa



Yeah walisha vuka milima na mabonde wanavumilia shida na raha, wapo radhi washindie mihogo au sumu na misumari ili mpenzi wake apige Kinana japo mbili.

kinana mbili haha hahaha
 
Kaizer mi nahisi hayo mengi yanatokana na mdada mwenyewe....yan kuna wengine wakiwa kwenye shughuli wanakuwa macho juujuu km tochi...unadhani atafika kileleni?
Kuna wadada wana pozi bhana yan akiguswa tu kalegea lol
Umri haumati sana.
Tatizo la 20s wanatakaga kujifanya mafundi lol wanaishia kumridhisha mwanaume tu (Na ndio lengo lao)
Ila kwa 30s wao lengo lao huwa ni mautamu tu.
atii macho juujuu mbavu zangu
 
hivi na wanaume wa below 30 wapoje ankal? nataka nikutaftie mkwe ila sijui nichague sharo au kibabu.
 
Ndo umegundua leo mdogo wangu Kaizer?

Ndiyo maana nilishasema kuwa,.. if I were to redo it...not to a girl or anyone who has not passed 3.5 decades...hata kwa kupewa kisiwa kama Zanzibar...

Utu uzima dawa....


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ninyi hamjui na hamjajua!
Arifu mleta sredi kakorofisha kwa Ngina, tena vurugu la nguvu. Halafu kutuliza munkari katengeneza
Tasnifu yenye ukweli ndani yake, lakini ambayo inamlenga Mama Ngina in positive way.

BTW turudi kwenye topic. Hivi Madame B ni 30s au 20s? Maana hilo purukushani lake kama kigori.
Nimejionea mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
hivi na wanaume wa below 30 wapoje ankal? nataka nikutaftie mkwe ila sijui nichague sharo au kibabu.


Kama wote bado mko below 30, nawashauri mchezopo chezepo kidalipo kwa miaka mingine kama 2-5 hivi...


Babu DC!!
 
Ninyi hamjui na hamjajua!
Arifu mleta sredi kakorofisha kwa Ngina, tena vurugu la nguvu. Halafu kutuliza munkari katengeneza
Tasnifu yenye ukweli ndani yake, lakini ambayo inamlenga Mama Ngina in positive way.

BTW turudi kwenye topic. Hivi Madame B ni 30s au 20s? Maana hilo purukushani lake kama kigori.
Nimejionea mwenyewe

None of the above....Kusema ukweli hata hiyo ndogo hajaifikia...

Kama kuna mtu anabisha aseme ili nimwage ushahidi..

Babu DC!!
 
Du Erick hawa ndio under 20

  1. [*=1]Huwa havikojoi (kufikia mshindo)
    [*=1]Huwa mpaka vikawaelezee wenzake na wanaume wakiwemo kuwa vimepata buzi
    [*=1]havitulii kitandani vikitaka kuonyesha Marufundi, mwisho wa game vinakosa kila kitu
    [*=1]Ukianza shusha magunia vinachomoa, ili umwage nje kuepusha mimba
    [*=1]Havijali ukimwi vyenyewe ni pesa tu

pics.jpg

Dada yangu lara 1 kama hujafika hata 30 basi umekosa ya Dunia kwani msichana akifikia angalau 26 ndio naye anarusha vimaji kidogo. Nakumbuka enzi za Kisutu na redenter ni lazima kanguo ka mchina kaonekane

Hahahahaa Ukwaju umenichekesha sana aisee lol
Vitoto vinabinuka sarakasi balaa lol
Ulosema ni ukweli mkuu yan vinawaza ujinga tu
Ila ndio hivyo umri wao unawaruhusu...sisi wazee ngoja tukomae na wazee wenzetu
Ila vitoto vyako Ukwaju vina miguu na hips kwikwikwiiiiii
Ngoja nirudi zangu Chitchat!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom