Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Kaizer umefanya kazi lakini leo???
ni hili la thi thi thi wanawake wa 30's au???
nina mashaka kama homework yangu imefanyika!
this time around nataka SWALI/KAZI /JIBU!
oh!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer umeanalyse vizuri sana na inaweza ikawa kuna ukweli ndani yake.
Ila nashangaa kwa nini nyie 40's mnaongoza kuwataka hizo 20's pamoja na hayo yote hayo????
 
Last edited by a moderator:
uwiiii snowhite na Kongosho leo naona mnataka kurudisha nyumri nyuma.

ila ukweli ng'ombe hazeeki maini bana hata kama figo zimecollapse
mtoto mbea wewe!
sasa nani kakwambia useme mi ni wa 50's???
hebu acha kutupeperushia ndege bana!
eti Kongosho huyu bi kizee viiipi!watu tunataka kuwa mayoung forever ye anakuja kutujazia nzi hapa! gfsonwin tuheshimiane!
daaadeki zako!:yell::yell::yell:
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi habarini za weekend?

Kwa uzoefu wangu wa miaka mingi na kupitia.majarida mbali mbali, ni maoni yangu kuwa wanawake walioko kwenye 30s kimapenzi:

1.ni wazoefu maana wameshapitia mengi
2.ni rahisi kufika kileleni maana wako a bit free..wameshajiestablish kimaisha nk
3. Kutokana na 2 apo juu wanafurahia zaidi tendo la ndoa
4.ni waelewa sana..sio nagging, kifupi wamekua.
5.ni wasafi, wanavutia sexually.

Sasa hii ni kulinganisha na wenzao teenagers na walioko kwen 20s.

Ni mtazamo wangu tu.labda kwa vile mimi nipo kwen late 40s😉

Sijui wengine mnaonaje....ruksa kuongeza.

Cc: Mtambuzi Asprin The Boss MziziMkavu KakaKiiza Baba V Sandeni Judgement Erickb52 Arushaone Filipo Nicas Mtei Mtoto halali na hela Bishanga

Bcc: gfsonwin cacico lara 1 AshaDii amu snowhite Madame B ladyfurahia charminglady KOKUTONA Passion Lady Zahra White Ray b BADILI TABIA Kongosho King'asti Heaven on earth sweetlady mimisa Graca marejesho Arabela mandenyi The secretary

ankal umeonja wangapi hadi umekuja na huu mtazamo? ngoja nikatete na aunt AshaDii kwanza, maana unavyolinganisha vitu viwili ina maana vyote unavijua.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer umefanya kazi lakini leo???
ni hili la thi thi thi wanawake wa 30's au???
nina mashaka kama homework yangu imefanyika!
this time around nataka SWALI/KAZI /JIBU!
oh!

Mantahof snowhite mwalimu wangu iweeeee

Kazi inafanyia vizuri sana...watuwacheeee kabisa....this was just a reminder
 
Last edited by a moderator:
Kaizer umeanalyse vizuri sana na inaweza ikawa kuna ukweli ndani yake.
Ila nashangaa kwa nini nyie 40's mnaongoza kuwataka hizo 20's pamoja na hayo yote hayo????

haaa ikitokea ivo ujue tumejitoa ufahamu tu, in fact kama tusipobalance kidogo ivi visharobaro vinaweza bill za maisha club? umemsoma Fidel80 lol
 
Last edited by a moderator:
ankal umeonja wangapi hadi umekuja na huu mtazamo? ngoja nikatete na aunt AshaDii kwanza, maana unavyolinganisha vitu viwili ina maana vyote unavijua.
Husninyo....nice to have you here....karibu sana.

Halafu uache umbea ndo nini unataka wkenda kwa shangaziyo AshaDii saa hizi? vyote ninavijua ndio la sivyo ningewezaje kusema haya makitu? lol
 
Last edited by a moderator:
30'S WANAKUWA WAMEOLEWA UNLESS WAWE GUMEGUME KAMA MIE 40'S WANAKUWA WAMEOA.
Hapa mnachochea kutoka nje ya ndoa.
tuko wengi sana kwenye hili ahsante Mungu.
Waume za watu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Husninyo....nice to have you here....karibu sana.

Halafu uache umbea ndo nini unataka wkenda kwa shangaziyo AshaDii saa hizi? vyote ninavijua ndio la sivyo ningewezaje kusema haya makitu? lol

asante ankal ila na wewe unazeeka kama Bishanga? usizeeke hivyo kabla hatujawaletea wajukuu. ila hili swala lako hili....mmmmh. ngoja kwanza nimtafte Mwali
 
Last edited by a moderator:
30'S WANAKUWA WAMEOLEWA UNLESS WAWE GUMEGUME KAMA MIE 40'S WANAKUWA WAMEOA.
Hapa mnachochea kutoka nje ya ndoa.
tuko wengi sana kwenye hili ahsante Mungu.
Waume za watu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Hebu nikae vizuri kwa hiyo wewe umeolewa hapo sikusomi vizuri
 
Hebu nikae vizuri kwa hiyo wewe umeolewa hapo sikusomi vizuri

sijaolewa na ninaijoi sex kisheeenzi yaani nina bwana wangu mume wa mtu ni balaaa ananikojolosha balaa'
Umri wa kuolewa tz 28 walioshabikia wote wake kwa waume hii mada waume za watu na wake za watu au wawe kama mie.
Humu ndani wazinzi tupo wengi sana na tokeni mkatombwe nje ya ndoa na mie nabeba waume zenu mambo kugawana bwana.
Wewe mwenyewe hapo upo 30's umeolewa ila unapofanywa
 
Siyo guarantee kwamba mwanamke mwenye external disturbing factors always hawezi kufurahia kufanya hivyo. Kuna situation nyingine ambapo mwanamke ambaye anakorofishana mara kwa mara na mume wake, hasa pale mume anapokuwa na nyumba ndogo na yeye akagundua hivyo; mwanamke huyo atafurahia sana kufanya sex na mwenza mbadala kwa sababu ya kuliwazwa, na halikadhalika kwa nia ya kukomoa.
 
Hao bila kupepesa ni madenti wa chuo ambao boom limekata, wanategemea 'shemeji' awatoe. Sasa kama ulikuwa umetembea na ka 100,000/ kako ukitarajia katatosha malipo gesti, mafuta ya gari lako na salio la kumpa umependae kama takeaway basi inakuwa imekula kwako! Nawajua hawa wadudu, nimepitia huko kabla sijatulia na ubavu!

Bado unakazi yakuwarudisha wanako lala mmoja baada ya mwingine huku unaugulia bill ya Tsh. 200,000+
 
Back
Top Bottom