Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Ooooohhhh!!!! Poleni wadogo zangu Mbona kwangu si bahili? Yaani nazitumia nitakavyo kwa wakati wowote, ndo maana huwa sina presha mwiko wangu utanirudia mwenyewe, yaani kwangu habishani, ndoa yetu ina amani bana!!!!!!
Teh huna presha coz si Unajua alivyo liability.Kuna mchepuko unaotaka liability
 
Teh huna presha coz si Unajua alivyo liability.Kuna mchepuko unaotaka liability

Kwangu ni bonge la asset hamjui tu yaani akipotea nami nimepotea ahahahahaha, wadogo zangu msione vyaelea mjue vimeundwa ati!!!!!! Embu njooni niwape darasa how to change a liability to asset...
 
Kwangu ni bonge la asset hamjui tu yaani akipotea nami nimepotea ahahahahaha, wadogo zangu msione vyaelea mjue vimeundwa ati!!!!!! Embu njooni niwape darasa how to change a liability to asset...
Hilo darsa lako kaa nalo tu. Tunamshukuru Mungu coz ametubariki na assets from the beginning. A liability will always be a liability.... ila kwa kuwa umeshazoea shida, basi enjoy tyuuuu
 
Hilo darsa lako kaa nalo tu. Tunamshukuru Mungu coz ametubariki na assets from the beginning. A liability will always be a liability.... ila kwa kuwa umeshazoea shida, basi enjoy tyuuuu

Hahhahaha Dogo umebug sijazoea shida bana naenjoy life ,tumia fursa ufursike....... Eli79 kuna break news plz ukuje kwa chumbani Aljazeera wanahabari nzuri
 
Last edited by a moderator:
Hahhahaha Dogo umebug sijazoea shida bana naenjoy life ,tumia fursa ufursike....... Eli79 kuna break news plz ukuje kwa chumbani Aljazeera wanahabari nzuri
Unadhani utaelewa basi, ngoja nisiongee sana utajanjaruka afu utoroke uje kupata raha buree. Muungano mwema teh
 
Last edited by a moderator:
Unadhani utaelewa basi, ngoja nisiongee sana utajanjaruka afu utoroke uje kupata raha buree. Muungano mwema teh

Dogo langu kumbuka nimeona jua kabla yako? Raha ya jembe liweze kutifua kila aina ya udongo, mjasiriamali mzuri ni yule ambaye anaona fursa ambazo wengine hawaoni, ombi langu muendeleee kuwa vipofu hivyo hivyo! !!!!....
 
Dogo langu kumbuka nimeona jua kabla yako? Raha ya jembe liweze kutifua kila aina ya udongo, mjasiriamali mzuri ni yule ambaye anaona fursa ambazo wengine hawaoni, ombi langu muendeleee kuwa vipofu hivyo hivyo! !!!!....
Sawa liability addict teh
 
Ni umri huu huuu wa 20s hata mambo ya tigo vinajaribisha halafu vikishanogewa havitaki kuacha.
 
Ooooohhhh!!!! Poleni wadogo zangu Mbona kwangu si bahili? Yaani nazitumia nitakavyo kwa wakati wowote, ndo maana huwa sina presha mwiko wangu utanirudia mwenyewe, yaani kwangu habishani, ndoa yetu ina amani bana!!!!!!

Hahahaaaaaa!! Safari ya matumaini inaendelea.
 
Hilo darsa lako kaa nalo tu. Tunamshukuru Mungu coz ametubariki na assets from the beginning. A liability will always be a liability.... ila kwa kuwa umeshazoea shida, basi enjoy tyuuuu

Chukua kinywaji kwa mangi bili utaleta sawa?
 
Mweh kumbe bado sijaufikia utamu
Muumba na anisaidie nifike salama
 
Teh nashukuru boss, nimeambiwa bill ushaclear

Chukua kinywaji kwa mangi bili utaleta sawa?

Hahhahhaha endeleeni kujifariji mi ndo nakula life hivyooooo.... Eli79 twende zetu kanisani leo popote ulipo nipo naona wanapiga majungu sana hawa wasije kukwiba bureeee!!!!......wazima lakini warembo?
 
Last edited by a moderator:
Hahhahhaha endeleeni kujifariji mi ndo nakula life hivyooooo.... Eli79 twende zetu kanisani leo popote ulipo nipo naona wanapiga majungu sana hawa wasije kukwiba bureeee!!!!......wazima lakini warembo?
Kwani tunaokula maisha huwa tunaongea basi... tupo kimya teh. Sisi wazima sana, happy sabbath kwako na kwa liability yako
 
Last edited by a moderator:
Hahhahhaha endeleeni kujifariji mi ndo nakula life hivyooooo.... Eli79 twende zetu kanisani leo popote ulipo nipo naona wanapiga majungu sana hawa wasije kukwiba bureeee!!!!......wazima lakini warembo?

We are veryyy guuuuud!
Teh teh teh!! Yaani huyo nimuibe!! Like serious? Nikimuhitaji nammovuzisha tu anytime and you know it.

Haya sabato njema, msitusahau ktk maombi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom