platozoom............. Mie ni mbichiiiiiiiiii.....kigoriiiiiiiiiiiii.......... nakati ya Between 20-30.Ninyi hamjui na hamjajua!
Arifu mleta sredi kakorofisha kwa Ngina, tena vurugu la nguvu. Halafu kutuliza munkari katengeneza
Tasnifu yenye ukweli ndani yake, lakini ambayo inamlenga Mama Ngina in positive way.
BTW turudi kwenye topic. Hivi Madame B ni 30s au 20s? Maana hilo purukushani lake kama kigori.
Nimejionea mwenyewe
Babu kuna kitu kimejificha kwa kauli yako...hebu nambie wewe ni member wa kule jukwaani kwetu?None of the above....Kusema ukweli hata hiyo ndogo hajaifikia...
Kama kuna mtu anabisha aseme ili nimwage ushahidi..
Babu DC!!
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.
Babu kuna kitu kimejificha kwa kauli yako...hebu nambie wewe ni member wa kule jukwaani kwetu?
Umemjuaje Madame B ?
Umesoma nae ?
Hahahahaaaa
Salamu zao TA
Hwakujui Madame B
Labda wanataka uwawekee na picha!
Urongo mtupu....20 umefika lini au na wewe unajibusti kama Mama Kanumba...lol???
Babu jamaniiii.........hutaki mkwe?????????
Babu DC!!
Umeanza lini tabia ya kumkosea adabu Babu?
Hivi kuna mtu ambaye hawafahamu wajukuu zake?
Babu DC!!
Mwaga ushahidi....
Ila ujue kuwa,...ukimwaga ugali....shaurilo...
Babu DC!!
Hivi umerudia ile tabia yako ya kupuliza lile jani hadi unakuwa na haya 24/7?
Babu DC!!
Mwacheni Babu kajichokea akalale. Mkianza kumsuta mtafanya apoteze hata ile hazina ndogo kama chembe ya haradali.
Hivi hujui wazee wanapata ile kitu kwa msimu.........Kipupwe, Masika, Kiangazi na Vuli!!!
Hahahahaaa
Ataninyima mke aisee
Mwache abaki jukwaa la matangazo tu
Hapa sikubaliani na nyie....Hatutaki kwenda Bombo Hosital kutoa pole! Hivi hamna huruma na Babu zenu?
Mnataka wa-faint kwenye laptop
Kuna watu wananimendea hivo naogopa kuwafungulia mlango Babu.
Mwenzangu akajilalie tu.........atuache sie tukae Sebleni tucheki TV peke yetu.