Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

salamu kwanza, ama baada ya salamu naomba uniambie sababu wewe ndio mpwa mpendwa wa ankal ni kwa nini ankal analeta threads kama za Bishanga? hii ni dalili mbaya ujue cousin.
Husninyo thread za Bishanga zikoje? Bishanga amenizidi kitu kimoja tu, nacho ni utajiri....yeye ni bepari mi mtu wa kawaida tu. Vingine vyote nimemzidi
 
Last edited by a moderator:
NAjibu salam yako kwa salam nzito zaidi (nikisindikiza na busu la nguvu :busu )
Mimi ni mpwa mpendwa wa Ankal kama wewe ulivo ywa Aunty wetu #fact
hii thread yake ya leo mi sijaisoma sana. sijui kwanini anasema hivi BUT
Ninavo mjua Uncle wetu anaweza kua alitoswa na kabinti ndio anajisemesha
Siyataki mabichi haya lo
l


hahahaahah Mwali how dare......
 
Last edited by a moderator:
Amesema ni uzoefu wake na pita pita katika majarida mbalimbali. sio research as such, ni habari tu tunashare.

Huo uzoefu wake huo huo, apitie ki diary na kutupa hesabu, hata za takriban tu.

Ama sivyo atakuwa "mchochezi".

I see the sarcasm was lost on you, even with the stroke.
 
wewe mumeo kakucha una stress na hujapata wa kukukojoza kabisa na ukome kunifatafata

Wewe naona una hamu ya Kupigwa Kabang nifukue kinyesi huko ndo utajua mi ni mwanamke au mwanaume, huyo anakukojolesha bado hajasokomeza kwenye utumbo mwembamba
 
Amesema ni uzoefu wake na pita pita katika majarida mbalimbali. sio research as such, ni habari tu tunashare.

Thank you Mwali...so intelligent. And I thot I as clear from the beginning?
 
Last edited by a moderator:
Age is just a number bana,vi chicken spring vina raha zake........kakurukie rukie kakutekenyetekenye......we acha bana gari bovu halivuti gari bovu lenzake........mambo yote nido sa sita.
Kopi: warembo wote wa cbe,ifm na mabibo hostel.......bishanga anawapa hi tukutane ambrosia weekend.
 
Huo uzoefu wake huo huo, apitie ki diary na kutupa hesabu, hata za takriban tu.

Ama sivyo atakuwa "mchochezi".


I see the sarcasm was lost on you, even with the stroke.

hahah Kiranga naona unangana na Husninyo hapo kunitaka nitoe "hesabu".....hapa bora niwe 'mchochezi' tu....
 
Last edited by a moderator:
Wewe naona una hamu ya Kupigwa Kabang nifukue kinyesi huko ndo utajua mi ni mwanamke au mwanaume, huyo anakukojolesha bado hajasokomeza kwenye utumbo mwembamba

hahaaa umenichekeshaje Fidel80 huyu dada ndo ana stress maana unamjibu hivi ye anajibu vingine kabisaaa
 
Last edited by a moderator:
Age is just a number bana,vi chicken spring vina raha zake........kakurukie rukie kakutekenyetekenye......we acha bana gari bovu halivuti gari bovu lenzake........mambo yote nido sa sita.
Kopi: warembo wote wa cbe,ifm na mabibo hostel.......bishanga anawapa hi tukutane ambrosia weekend.

umemsikia Husninyo anadai kwamba tunafikiria sawa siku hizi? ambrosia unataka vibinti vya watu vikapigwe risasi?
 
Last edited by a moderator:
Age is just a number bana,vi chicken spring vina raha zake........kakurukie rukie kakutekenyetekenye......we acha bana gari bovu halivuti gari bovu lenzake........mambo yote nido sa sita.
Kopi: warembo wote wa cbe,ifm na mabibo hostel.......bishanga anawapa hi tukutane ambrosia weekend.

pale Ambrosia watatokea wachache...na haka ka tukio kalikotkea hivi
tafadhali Bishanga tafuta eneo jingine conducive la kukutana na warembo
 
Last edited by a moderator:
mume wako anatembea na hausigeli munikome uniwache

wewe anza kwa kumuwacha mwanaume wa mwenzio utafute wako....
then ndo uje umwambie hayo maneno Fidel80
kutembea na waume za watu nako imekuwa sifa jifunze kuwa na haya
mtoto wa kike.....
 
Last edited by a moderator:
NAjibu salam yako kwa salam nzito zaidi (nikisindikiza na busu la nguvu :busu )
Mimi ni mpwa mpendwa wa Ankal kama wewe ulivo ywa Aunty wetu #fact
hii thread yake ya leo mi sijaisoma sana. sijui kwanini anasema hivi BUT
Ninavo mjua Uncle wetu anaweza kua alitoswa na kabinti ndio anajisemesha
Siyataki mabichi haya lol

heheheheheh, cousin isije ukawa utani wa kweli huo. lol.
 
hahah Kiranga naona unangana na Husninyo hapo kunitaka nitoe "hesabu".....hapa bora niwe 'mchochezi' tu....

ujue nataka kuungana na mwali sababu aliyotoa. kama ulimuoa aunt yetu wakati yupo kwenye 20 hadi sahv yupo kwenye 30s ina maana kipindi chote hicho alikuwa haenjoy anavumilia tuuuu? ankal umetoswa na kibinti?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom