Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

mwanza ni Tanzania au ni Uganda mpaka hawa vijana wamnatii Mseveni?
Mkuu bado somo la uraia linatakiwa sana,niliona kwenye skonga mwanafunzi mmoja aliulizwa rais wa Tanganyika ni nani akasema ALhassan Mwinyi,
Hivyo nadhani kwa kuwa mZA kuna bidhaa nyingi kutoka uganda zinauzwa kwa hiyo vijana wanadhani rais wa tanzania ni M7.
 

hakuna sheria hii tanzania! Ila naunga mkono walichofanya
 
Duh.. agizo la mu7 mwanza! Kwani shirikisho la Afrika Mashariki tayari?
 
kumbe na wewe ni mchana nguo za wanawake? pole sana, wapelekeni kwenye vyombo husika, hamna mamlaka ya kujichukulia sharia mkononi

vyombo husika vipi..huko wakifika wanawabandua kesi inaisha dawa ni moja tu chana chana mpaka chupi
 
weka picha mkuu!
 
ina maana mu 7 amri zake zinatekelezwa hadi mwanza?!

Sent from my blackberry 9220 using jamiiforums

hongera vijana wa mwanza kwa kutekeleza mawazo mazuri ya m-7, chana nguo zote wabaki uchi wazi nadhani hata wengine hawatatoka au watarudi kubadilisha nguo zao. Ikibidi hata suruali za kubana na hizo wavuliwe uvaaji wa namna hiyo ni kuonyesha kuwa ikijatokea tnzania ikapata rais mwanamke au waziri mkuu mwanamke basi wanawake wataruhusiwa kwenda kazini na vi-bikini
 
Wawachanie kabisa. Tumechoka kudhalilishwa
 

agizo la m7 hapa tz linahusikaje labda?na wazungu wanachaniwa?
 
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo

amesema, "waathirika wakubwa wamekua niwanafunzi wa viwo hususan st Augustine, CBE". labda wewe hujavuliwa kwa sababu si mwanafunzi wa Viwo.
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::focus:
 
Hata hivyo M7 ni jembe hata akigombea kula yangu anapata.

M7 hawezi kuhitaji kula yako, labda ungesema Kura na hapo ni lazima uwe mganda ndio itakuwa na maana!!!πŸ˜›ound:πŸ˜›ound:
 

ila washamba wakiwa wengi inakuwa ni kero, mbona hiyo ni kitu ya kawaida sana kwa watu wenye exposure ya kutosha, bila shaka jamaa wa design hii ni "remnants of evolution". they were supposed to live during stone age and not now if you can just be driven by animal instinct.
huyo M7 anacheza tu na akili za mamburula kama nyinyi kwa ajili ya umaarufu wa kisiasa. lakini mapumziko yake utamkuta beach za Thailand au fukwe za copa cabana!
kwa mtu mwenye ubongo hawezi kushawishika eti kwa sababu mwanamke kavaa nusu uchi, ina maana nyinyi beach huwa hamuendi? au mnaenda beach za watu waliovaa pajama au baibui?
 

pamoja mkuu, mi hawa warugaruga wananiboa sana, hivi huwa hamuona mtoto akipiga mini huwa anatokelezea!?
endeleeni kukaa hukohuko mwanza na maushamba yenu!!!!!
 
iko wapi serikali? nyie mnaosema wachaniwe ndo washenzi wa tabia,nyambaf zenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…